Amemiss kula kuku wa wateja 🤣🤣🤣Ila mkuu si ulisema umeshaachana na matunguri imekuaje tena??
Kwa Dutwa si ulikuwa umekaribia Gambosi mkuu hahahaaa....Yeah nilifikia Shy kwanza kisha nikarudi Dutwa ..
Sawa mkuu, tuombe uzima japo ninatamani tuonane tuzungumze kidogo.Bro nimetoka huko jana nilikaa siku 2 nzima[emoji1545]
Hahahaaa....Hizi safari zina hesabu zake huendi direct
Asante mkuu, japo mie nipo Mwanza. Mwenyezi Mungu salama kwa safari yako.Kwaherini Kahama next stop Tabora
Upo powa ndugu...