Mbishi Uswazi
Senior Member
- Feb 7, 2020
- 170
- 315
Wakazi wa Wilaya ya Kahama kata ya Majengo, ni wiki ya pili sasa kaya zaidi ya 400 hazina huduma ya maji kutokana na mgomo wa wafanyakazi, wakidai malimbikizo ya mishahara kwa mkandarasi, walikata bomba kubwa linalosambaza maji kwa ajili ya kulihamisha.
Baada ya kulihamisha hawakuunganisha mabomba ya watu waliyoyakata na vifaa vya kuunganishia mabomba waliondoka navyo ndo wakaanza mgomo.
Ni wiki ya pili leo tunaomba mamlaka husika zitusaidie watuunganishie maji maana hatujui mgomo wao unaisha lini tunaangaika na maji.
Baada ya kulihamisha hawakuunganisha mabomba ya watu waliyoyakata na vifaa vya kuunganishia mabomba waliondoka navyo ndo wakaanza mgomo.
Ni wiki ya pili leo tunaomba mamlaka husika zitusaidie watuunganishie maji maana hatujui mgomo wao unaisha lini tunaangaika na maji.