johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wagombea 60 wa ubunge jimboni Shinyanga Mjini wamepewa onyo kali baada ya kujihusisha na vitendo vya rushwa.
Katibu wa CCM mkoani Shinyanga amesema atalifutilia mbali zoezi la kura za maoni kama wagombea wataendeleza vitendo hivyo haramu vya kununua kura
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Katibu wa CCM mkoani Shinyanga amesema atalifutilia mbali zoezi la kura za maoni kama wagombea wataendeleza vitendo hivyo haramu vya kununua kura
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!