ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #521
Tuko msibani watu wameingia huko moro nikirudi kwenye maombolezo nakujaTunazungumzia shule na sio mkoa Kahama iko ndani ya mkoa wa Shinyanga.
.
Weka shule inayofanya vizuri kutoka Njombe mji nami naweka Shule inayofanya vizuri Kahama mji kisha tuone nani ni mzima kichwani kama ulivyouliza
Umaskini wa akili na mali ni mbaya sana,Ushaanza matusi nitake radhi hakuna mahala nimekutukana wala kumtukana yeyote mimi sio kilaza.
.
Kuhusu kurudia picha za Submarine ni kutokana na maombi ya ngulipo kuwa hajaona hotel za Kahama sasa wewe unabwata tu hapa na matusi juu huku hujaweka picha hata moja.
.
Yani kisa kwenu kaka yako alifaulu shule basi nawe huna haja tena ya kusoma sio? Akili zingine hizi ndio maana wafupi nyie
Hagafilo secondary haikuwa ya mwisho kitaifa 2017?tuwekee taarifa ya ufaulu ya miaka mitatu mfululizo, usijitoe ufahamu. Lete takwimu apa
Sibishani na masikini hapo ulipo hata bando hunaHagafilo secondary haikuwa ya mwisho kitaifa 2017?
weka ufaulu kimkoa, sawa hagafilo ipo hapo, na wastani wa ufaulu upoje kimkoa kati ya shy na njmbe? Leta wastani wa ufaulu kimkoa ndani ya miaka 3 hii, mwaka huu mmekua wa 23 kati ya mikoa 31 na kwa bara nyie wa 3 toka mwisho, mwaka jana mlikuwa wa 24 sijawai ona mkoa wa vilaza kama huo. Hebu mjiongeze basi mguse hata kumi na kitu basi,najua top ten hamuwezi labda arudi YesuHagafilo secondary haikuwa ya mwisho kitaifa 2017?
pia lete na takwimu zile za kiuchumi mwaka huu uone limkoa lako limekuwa la ngapiNi kilio na kicheko. Hivyo ndivyo tutakavyoweza kusema, kwani matokeo ya kidato cha sita, yaliyotangazwa leo Jumamosi, Julai 15 yamezitaja shule kumi zilizofanya vibaya na kushika mkia kitaifa.
Shule hizo ni Kiembesamaki Unguja, Hagafilo (Njombe), Chasasa (Pemba), Mwenyeheri Anuarite (Dar es Salaam) na Ben Bella (Unguja).
Nyingine zilizotajwa kushika mkia ni Meta (Mbeya), Mlima Mbeya(Mbeya) Nyingine ni Shule ya Sekondari ya Al-Ihsan Girls (Unguja na St Vicent(Tabora).
.
pemgtoonet.com
Hagafilooo njombe
Mkuu mimi ni msukuma wa Mwanza ila Kahama naitetea kwa sababu ni nzuri na bora kuliko Njombe mji.weka ufaulu kimkoa, sawa hagafilo ipo hapo, na wastani wa ufaulu upoje kimkoa kati ya shy na njmbe? Leta wastani wa ufaulu kimkoa ndani ya miaka 3 hii, mwaka huu mmekua wa 23 kati ya mikoa 31 na kwa bara nyie wa 3 toka mwisho, mwaka jana mlikuwa wa 24 sijawai ona mkoa wa vilaza kama huo. Hebu mjiongeze basi mguse hata kumi na kitu basi,najua top ten hamuwezi labda arudi Yesu
Weka barabara za Njombe mji niweke barabara za Kahama mji tuone zipi borapia lete na takwimu zile za kiuchumi mwaka huu uone limkoa lako limekuwa la ngapi
weka takwimu hizo ndo tuendelee, twende kwa data. Blabla hapa si mahali pakeMkuu mimi ni msukuma wa Mwanza ila Kahama naitetea kwa sababu ni nzuri na bora kuliko Njombe mji.
.
Leta jina la shule lililowahi kuwa la mwisho kitaifa kutoka Shinyanga yani jumlisha na wilaya zake zote ichukue hadi Bariadi ambayo ni Simiyu sasa hivi
Hata kama madini yapo sio mengi kwa kiasi hicho Buzwagi ndo hiyo inakauka miaka michache ijayo kutapauka,pili Khm sio mji wa transport hub Kama Njombe ni suala la mda tu Kahama itapauka wakati Njombe ndio kuna kucha hivyo.Pindi barabara za Njombe/Itoni kudewa mbamba bay,Njombe Ifakara mikumi na Njombe makete Mbeya zikikamilika zitakuwa ni ufunguo mkubwa sana huku kwa fursa
Pia usisahau kwamba Njombe ni mkoa wa wachapa kazi na pia kumbuka kuna mabwawa 4 ya kufua umeme yako mbioni kujengwa yote hiyo inakupa picha ya Njombe ya Kesho sio sawa na huko mnakoongoza kwa maskini wengi
Hadi dakika hii migodi haijaisaidia Kahama na watu wake kutoka kwenye dimbwi la umaskini bila kujalisha madini yataisha mwaka 2700Mgodi wa Bulyanhulu unajua una mineral reserve kiasi gani? Migodi ya wachimbaji wadogo je? Na kahama kuwa Junction/ highway ya Kigoma, kagera, Rwanda, Burundi na Uganda je?
Umejibu kipambe na kishabiki hujafanya comparison umejibu ka mshabiki/ mkazi wa njombe
Usijisumbue kuweka za Kahama maana hamna lolote la maana ila wenzenu Njombe iko kwenye mradi wa benki ya dunia wa kuboresha miundombinu ya miji wameanza na stendi zinafuata barabara itanoga kama singida,swax,tabora,bahati nk ko kuwa mpole na mwaka huu barabara ya Makambako songea inajengwa upyaWeka barabara za Njombe mji niweke barabara za Kahama mji tuone zipi bora
Kuna ukali hapo Sasa?ukali wa nini mkuu hapa tunajadili tu, hakuna vita
njoo uone njombe inavo jengekaShinyanga-Mwanza ni mbali sana wewe mtu wa njombe una matatizo
.
Ona una ndoto mfu tena kwamba Njombe baada ya miaka 10-15 utazipita Iringa na Songea hivi hao watu wa Iringa watakuwa wamelala tu?
.
Njombe inaweza kuipita Lindi ila sio Iringa na Songea
Mwaka jana tu mkuu nilikuwepo huko nimeahidi kutokurudi tena kwa sababu wachawi mno nyie huko mnaroga hadi mimba ujinga gani huo na nilikosa dem kabisa wote wananifikia kiunoni tu πππnjoo uone njombe inavo jengeka
Huna lolote mkuu wewe kachunge ng'ombe ndio unachokiweza huku Kuna aggressive business menMwaka jana tu mkuu nilikuwepo huko nimeahidi kutokurudi tena kwa sababu wachawi mno nyie huko mnaroga hadi mimba ujinga gani huo na nilikosa dem kabisa wote wananifikia kiunoni tu πππ
Sijaiona Njombe kwenye list mtu mfupi?πππ mnakwama wapi Kahama si umeichungulia lakiniHuna lolote mkuu wewe kachunge ng'ombe ndio unachokiweza huku Kuna aggressive business men
Wewe big skull empty mind vaa miwani macho yamekufa kwa kushindia michembeSijaiona Njombe kwenye list mtu mfupi?πππ mnakwama wapi Kahama si umeichungulia lakini
Mtu mfupi kwanini Njombe mji imezidiwa na Kahama mji sasa?Wewe big skull empty mind vaa miwani macho yamekufa kwa kushindia michembe
Njombe hujaiona angalia namba 42 ila pia usisahau kuangalia tanga na Mwanza nani yuko juu