ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #581
ππππ Manamba wa Kahama wakiona hiyo lazima wafanane hiviπππnjombe kwakifupiView attachment 1184195View attachment 1184196View attachment 1184197View attachment 1184198View attachment 1184199View attachment 1184200View attachment 1184202View attachment 1184203View attachment 1184204View attachment 1184205View attachment 1184206View attachment 1184208View attachment 1184209View attachment 1184211View attachment 1184212View attachment 1184213View attachment 1184214View attachment 1184215View attachment 1184216
ππππππππmie sijenda Kahama kupiga selfie mkuu bahati mbaya sana mm na ww upeo wetu hauwez fanana katu!
I can't argue with yuh kidUmehamia Geita ππππ Njombe kiboko weka picha za huko migodini wadau wanazidi kutiririsha pics za Njombe nchi ya ahadi
Dude taja jina la hotel moja baada ya nyingine kasoro Glory hotel na Dosmezanjombe kwakifupiView attachment 1184195View attachment 1184196View attachment 1184197View attachment 1184198View attachment 1184199View attachment 1184200View attachment 1184202View attachment 1184203View attachment 1184204View attachment 1184205View attachment 1184206View attachment 1184208View attachment 1184209View attachment 1184211View attachment 1184212View attachment 1184213View attachment 1184214View attachment 1184215View attachment 1184216
Mkuu picha ya kwanza ya round about ni Makambako baada ya rehab ya Tanzam highway hii sio sehemu yake but wait mradi wa uendelezaji miji na rehab ya Makambako songea trunk road zitabadili sura ya barabara hapo Njombe mtaipenda wenyewenjombe kwakifupiView attachment 1184195View attachment 1184196View attachment 1184197View attachment 1184198View attachment 1184199View attachment 1184200View attachment 1184202View attachment 1184203View attachment 1184204View attachment 1184205View attachment 1184206View attachment 1184208View attachment 1184209View attachment 1184211View attachment 1184212View attachment 1184213View attachment 1184214View attachment 1184215View attachment 1184216
Kulikuwa na usafiri wa baiskeli .Hahaha buda Geita ya 2016 sio ya leo nenda ushangae bajaji zimeenea japo hawaifikii Singida bajaj ni nyingi kama watu
HILL side hotelPicha ya 7 toka chini panaitwaje?
Mkuu picha ya kwanza ya round about ni Makambako baada ya rehab ya Tanzam highway hii sio sehemu yake but wait mradi wa uendelezaji miji na rehab ya Makambako songea trunk road zitabadili sura ya barabara hapo Njombe mtaipenda wenyewe
Ndio utamaduni wetu huo buda, Igunga utazikuta, shinyanga, Kahama, Mwanza (misungwi, Ngudu, Nansio,Sengerema n.k), Tabora, Geita yaaani ni shida.Kulikuwa na usafiri wa baiskeli .
Yaani ni kama daladala.nilishangaa sana
Unamkuta Dada mzuri au kijana sharobaro anaita baiskeli... Nilishangaa Sana.hawa mangosha hawashuki wakipanda mlima hata Kama wamebeba tipwa tipwa!!!Ndio utamaduni wetu huo buda, Igunga utazikuta, shinyanga, Kahama, Mwanza (misungwi, Ngudu, Nansio,Sengerema n.k), Tabora, Geita yaaani ni shida.
.
Wa Geita walitaka kuwafukuza wezi wakaongezeka wakaona wawaache tu
Njaa sana kule na walivyowengi hakuna wa kupanda japo bajaji au boda yaani baiskeli ni 200 kituo hadi kituo umbali wa kutosha sasa mtu uje upate 10000 ni wiki hayo sio maisha lory likianguka lazima watu wang'oe betriKulikuwa na usafiri wa baiskeli .
Yaani ni kama daladala.nilishangaa sana
Mada ni Njombe/Mafinga mji vs Kahamamakambako ni mkoa wa njombe...
Tatizo watu kama utitiri worse enough maskini sana sasa hata dada zao ni cheap sana.Afu nyie wangosha mimi ni shem wenu heshima ichukue mkondo wake namkaza kiuno dada yenu ππππKahama nimeielewa Sana,nimewahi kufika pako vema Sana kwa ukanda wa Kanda ya ziwa ukiitoa Rock City.
Haahaa, madem wa kisukuma ni wakarimu Sana mzee baba.Tatizo watu kama utitiri worse enough maskini sana sasa hata dada zao ni cheap sana.Afu nyie wangosha mimi ni shem wenu heshima ichukue mkondo wake namkaza kiuno dada yenu ππππ
Ni malaya wale sababu ya umaskini huwa naona mabinti wakivunja ungo no one cares wazazi hawana habari na watotoHaahaa, madem wa kisukuma ni wakarimu Sana mzee baba.
Anapewaga piipii!!,wanashobokea wageni balaa ukizama usukumani utakubali.Ni malaya wale sababu ya umaskini huwa naona mabinti wakivunja ungo no one cares wazazi hawana habari na watoto
Walivyo mapunga nilikuwa na dem wa huki kipindi naishi mwanza sasa dem alikua chuo cha ualimu si wakapata bwana ana tu hela wakamuachisha chuo sasa nikampanga manzi akakaza wakaaibika wakaishia kunambia ooh umempa nn mtoto wetu hataki kuolewa ,sasa unajiuliza mwanamke anapewaga nini na mwanaume khaa ππππ
Hujaona utafiti wa britanicca tunaingoza kwa kuwa na mishedede mikubwa na nguvu tunazo.Unamkuta Dada mzuri au kijana sharobaro anaita baiskeli... Nilishangaa Sana.hawa mangosha hawashuki wakipanda mlima hata Kama wamebeba tipwa tipwa!!!