Geita gold mining ndio kampuni inaongoza kwa ulipaj kodi tz zaidi ta trillion moj kil mwaka
Leta source acha kupotosha husirudie kunibishia ukinion mahal tena Geita Gold Mine | Anglogold AshantiAcha uongo.
Kampuni inayoongoza ni TCC na TBL afu NMB
Nyie endeleeni kujifariji huko malishoni,kama umefika Njombe kwa siku za karibuni utakubaliana na mimi kwamba Njombe imeendelea sana kuliko kahabaNjombe inatia huruma jaman, angalia inashika mkia makusanyo ya Kodi
Hivi umeon mikoa ya kikodi????? Kuna Shinyanga na Kahama, sijui kama unaelewa???? Ila sidhani kam kun Mafinga hapo?Njombe inatia huruma jaman, angalia inashika mkia makusanyo ya Kodi
Husibishane kama la saba, njoo na fact sio kelele za vibanda umizaNyie endeleeni kujifariji huko malishoni,kama umefika Njombe kwa siku za karibuni utakubaliana na mimi kwamba Njombe imeendelea sana kuliko kahaba
Hapo KHM ni mlundikano wa watu wakifanya uchuuzi lakini njaa tupu.Nilihesabu magorofa Njombe ni zaidi ya 30,,Zamani ilikuwa ukienda airport ya Njombe ni mapori leo hii airport iko mjini yaani songea road ujenzi ni mkubwa sana
Nyie endeleeni kujifariji huko malishoni,kama umefika Njombe kwa siku za karibuni utakubaliana na mimi kwamba Njombe imeendelea sana kuliko kahabaNjombe inatia huruma jaman, angalia inashika mkia makusanyo ya Kodi
Ushahidi gani ww mchuuzi unataka wakati hii thread imejaa picha za Njombe kahama hakuna.Tukiweka za Mafinga si mtadhani ni jijiHusibishane kama la saba, njoo na fact sio kelele za vibanda umiza
acha kufananisha njombe na vitu vya ajabuHusibishane kama la saba, njoo na fact sio kelele za vibanda umiza
Yeye usemacho nilikuwa huko mwezi wa kumi yaani Njombe ni fire,afu ile road ya makete iko inapigwa lami asphalt concrete upana 12m yaani in short Njombe itanoga sana in 5 years to come hutoaminiDah nilikua njombe juzi kati. Hatari.
Kuna ghorofa nyingi sana zinaendelea kujengwa.
Kuna 1 lipo hapa chini sheli jirani na NBC nomaaa.
Lipo floor ya 1
Picha ndio nini ushamba tu, yani me niende kahama nizungukr napiga picha mijengo ya watu??? Embu panda basi njoo Dar huone kama hutaibiwa mpka boksaNyie endeleeni kujifariji huko malishoni,kama umefika Njombe kwa siku za karibuni utakubaliana na mimi kwamba Njombe imeendelea sana kuliko kahaba
Hapo KHM ni mlundikano wa watu wakifanya uchuuzi lakini njaa tupu.Nilihesabu magorofa Njombe ni zaidi ya 30,,Zamani ilikuwa ukienda airport ya Njombe ni mapori leo hii airport iko mjini yaani songea road ujenzi ni mkubwa sana
Ushahidi gani ww mchuuzi unataka wakati hii thread imejaa picha za Njombe kahama hakuna.Tukiweka za Mafinga si mtadhani ni jiji
Kwa hyo maghorofa kwako Ndio maendeleo? Njombe akili zenu kama za mkuu wa mkoa wenuDah nilikua njombe juzi kati. Hatari.
Kuna ghorofa nyingi sana zinaendelea kujengwa.
Kuna 1 lipo hapa chini sheli jirani na NBC nomaaa.
Lipo floor ya 1
Usilinganishe mji maalum wa kahama na vitu vinyonge kama njombe na mafinga. Inavyoonekana wewe huna kazi za kufanya maana post zako zote zimejaa upuuzi mtupu. Achana na kanda ya ziwa wewe hiyo ni habari nyingine.Karibuni kwenye mada
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga
Je ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwinzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Njombe kuipita Iringa labda miaka 500 ijayo. Manyara ndo inakotoka Tanzanite lakini haitakuja kuipita Arusha au moshi. Njombe hata kwa Mafinga haitii mguu Mafinga ni wilaya ya tatu kimapato tz next to kahama. Kahama ni nzuri na ina mzunguko wa pesa kuliko Mafinga na Njombe. Nilkaa kakola buly 2010. Kipindi hicho kahama kulikua na benk zaid ya 6. Azania, stanbic nk. Njombe mpaka sasa wana benk 4 tu hakuna hata shopping mallSio mbali wewe nimeishi mwanza 3 yrs ni only 160 km to Shinyanga
Miji hiyo kupitwa au hapana ni factor ya growth rate ambapo kwa sasa iko favourable kwa Njombe kuliko Songea na Iringa ko tofautisha kukimbia na kutembea.Imagine barabara ya Njombe Ifakara na Njombe kudewa mbamba bay na Njombe makete Mbeya zikikamilika hiyo speed ya ukuaji itakuwa mara mbili ya sasa wakati Iringa na Songea hakuna jipya barabara zake kuu ziko operational tayari
rudi darasani kwanza ndio urudi kukoment hapaKwa hyo magirofa kwako nfio marndeleo? Njombe akili zenu kama za mkuu wa mkoa wenu
Njombe ni mkoa, kahama ni kawilaya.Njombe kuipita Iringa labda miaka 500 ijayo. Manyara ndo inakotoka Tanzanite lakini haitakuja kuipita Arusha au moshi. Njombe hata kwa Mafinga haitii mguu Mafinga ni wilaya ya tatu kimapato tz next to kahama. Kahama ni nzuri na ina mzunguko wa pesa kuliko Mafinga na Njombe. Nilkaa kakola buly 2010. Kipindi hicho kahama kulikua na benk zaid ya 6. Azania, stanbic nk. Njombe mpaka sasa wana benk 4 tu hakuna hata shopping mall
Njombe ni mkoa, kahama ni wilaya.Usilinganishe mji maalum wa kahama na vitu vinyonge kama njombe na mafinga. Inavyoonekana wewe huna kazi za kufanya maana post zako zote zimejaa upuuzi mtupu. Achana na kanda ya ziwa wewe hiyo ni habari nyingine.
Njombe mjini haifikii hata nusu kwa kahamaNjombe ni mkoa, kahama ni kawilaya.
So haviwezi lingana hata nusu.
Kahama ingeizidi njombe, ingekuwa mkoa km njombe.
So kahama kuikuta njombe ni ndoto.
Hadhi yake itabaki hukohuko kwenye level za wilaya.