Kwa video hii Bukoba inaizidi Mbeya mbali...🤪🤪🤪🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁 Kanda ya Ziwa yote ni mavi tupu
View: https://twitter.com/NuktaTanzania/status/1744747251367309775?t=3QWtWdM6jnYqqHwzRw3NOw&s=19
Mbali ni wapi? Nyie labda mnaizidi mavi na kipindupindu tuu 😂😂Kwa video hii Bukoba inaizidi Mbeya mbali...
Hebu Tazama Bukoba na ulinganishe na jiji lenu😂
View: https://youtu.be/rBYKFm9U19w?si=Q9CF_39mtb3zxwgr
At least umeiona Bukoba...haya linganisha na miji yenu ya kusini.
Hakuna Mji hapo ni Kijiji kilichochangamka.At least umeiona Bukoba...haya linganisha na miji yenu ya kusini.
Iringa ndo at least inaweza compete na Bukoba japo nako ni kadogo na kamebana na hakana facilities nyingi kama Bukoba
Unajifariji lakini Bukoba iko vzr ana kimaendeleo hata huyu YouTuber kaonaHakuna Mji hapo ni Kijiji kilichochangamka.