ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #18,241
Vijiji vya mkoa maskini zaidi Tanzania 😂Sisi tunaita nyumbani wao wanaita Mbeya 🔥🔥
View: https://twitter.com/mhdhamad/status/1750583934159610312?t=6nexx-hs7eWVpIEylBr9Hw&s=19
Endelea na miagizo ,Kusini na Nyanda za Juu inazidi kufunguka
Choice akiona hiyo anatetemeka 🤣🤣ukimwambia alete vijiji vya kwao analeta mabasi 😜😜😜
Unaita maigizo huku unatolewa ushamba, mkajifunze jinsi vijiji vinatakiwa kuwaEndelea na miagizo ,Kusini na Nyanda za Juu inazidi kufunguka
View: https://www.instagram.com/p/C2jfDvut7th/?igsh=c2RwNXVrd3I3Zmh5
Tuko busy na busy mambo ya msingi sio upuuzi usio na maanaUnaita maigizo huku unatolewa ushamba, mkajifunze jinsi vijiji vinatakiwa kuwa
Ruvuma ni Moja ya Mikoa inakuja Kwa Kasi kwenye GDP.Choice akiona hiyo anatetemeka 🤣🤣ukimwambia alete vijiji vya kwao analeta mabasi 😜😜😜
Punguza shobo kila kona ya nchi hii barabara zinajengwaTuko busy na busy mambo ya msingi sio upuuzi usio na maana
View: https://www.instagram.com/p/C2k8tKctJUp/?igsh=dDdvY3lxbHRhaml4
Acha ushamba wewe ,magorofa Hadi Wilayani yanajengwa 👇Punguza shobo kila kona ya nchi hii barabara zinajengwa