Kahama VS Njombe/Mafinga

Mufindi ya Samia inasonga Mbele tunakuombea kheri Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan unapoanza safari yako Nchini Uturuki, Sisi wana Mufindi tunakupenda na hakika Mfupa ulioshindikana na wengine kwa Miaka 60, umeanza kuutafuna kwa kasi.
Leo nitataja mambo 5 tu:

1. MAJI: Kati ya Vijiji 71 Mwaka 2021 ni Vijiji 5 vilikuwa na maji, Leo Miradi ya Maji imepelekwa kwenye Vijiji zaidi ya 50.

2. Barabara za lami: Mpaka Mwaka 2021 Wananchi walifika mahala wakachoka na ahadi za lami, lakini leo hii:
•Nyololo-Mtwango Km 40.4 Mkandarasi yuko site,
•Sawala-Luhunga mkandarasi amemaliza Km 30 na anamalizia 10,
•Igowole inapata lami Mtaani km 1.2,
•Barabara ya Mafinga Mgololo Mkataba umesainiwa tunasubiri kazi ianze muda wowote taratibu zikikamilika. •Usanifu wa kina umeanza kwa barabara ya Makambako- Mgololo

3. Elimu: Ujenzi Chuo VETA unaendelea, Ujenzi shule mpya 3 za Sekondari na za Msingi zaidi ya 20.

4. Kilimo&Mifugo:
•Tunakushukuru kwa kututua mzigo wa bei za Mbolea toka 130,000 mpaka 70,000 kupitia ruzuku,
•Ujenzi kiwanda cha parachichi Nyololo,
•Ugawaji Vifaranga vya Samaki katika Mabwawa ya Nzivi, Ngwazi na Kihanga etc
•Animal Gift, Mradi wa wadau wa ugawaji wanyama hai kwa wananchi( Takribani Ng'ombe 600, Ng

5. Afya: Asante kwa Vituo vya Afya Mgololo, Mninga, Mtwango na Itandula,
•ukamilikaji Hospitali ya Wilaya Mufindi,
•uboreshaji Kituo cha Afya Malangali na Mbalamaz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…