Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Tuwekee picha bwana pamoja na wasifu wa hizo sehemu....we vipi? Sasa hapa tutajadili nini, kuna wengine hatujafika hizo sehemu.Karibuni kwenye mada.
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.
Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Flash back there are uncountable photos for Njombe and few for KahamaTuwekee picha bwana pamoja na wasifu wa hizo sehemu....we vipi? Sasa hapa tutajadili nini, kuna wengine hatujafika hizo sehemu.
inachekesha wanaongea tu,hata aliyeleta mada naye hana picha hata moja.Tuwekee picha bwana pamoja na wasifu wa hizo sehemu....we vipi? Sasa hapa tutajadili nini, kuna wengine hatujafika hizo sehemu.
Tajiri Giningi wa kwanza.. 🙂Mtu kwao ndio imetawala katika malumbano yote haya,Njombe iko mbali sana kwa Kahama na Mkuu amesema wazi ametoa zawadi ya manispaa kwa sababu alipewa kura nyingi hapo Kahama,lakini kuna mazoea ya watu humu kusifia sana kwao na kudharau sana maeneo mengine,maeneo mengi yanafanana tu,baadhi ya maeneo yalipata upendeleo kwa sababu ya watu fulani waliokuwa na nguvu katika nafasi zao lakini vijana wanakuja na nyodo nyingi na kupinga maendeleo ya sehemu nyingine mpaka inashangaza kama wote hawa ni watanzania kweli? du JF inaonyesha picha halisi mioyo ya watu.
Unasema ulikuwa Kahama januari hii,ukaielewa Kahama na ndipo unaitetea sana lakini hujasema umewahi kufika Njombe,kwa hiyo cha maana katika arguments zako.Wewe ni sawa na vipofu waliomgusa tembo,aliyegusa sikio alisema tembo mkubwa kama beseni,aliyegusa mkia alisema tembo mkubwa kama fimbo,Wewe umetoka Tanga ukaona Kahama basi mji mkubwa kuliko mji wowote,du wabongo pata exposure kidogo.Mimi ni mtu wa tanga nimefika kahama January hii hakika kahama inazizidi baadhi ya manispaa kwa mzunguko wa fedha na wanajenga nyumba za kisasa sana na mabenk ni mengi + supermarket, nashindwa kuelewa hao wana njombe sijui wanatumia kigezo gani kuilinganisha na kahama, naona wengi wameng'ang'ania hoja ya maskini wengi ingawa sijaona viashiria vingi vya umaskini kahama, by the way hata dar maskini ni wengi kwa iyo tuseme dar hamna kitu
Have fun,that's it .Tajiri Giningi wa kwanza.. 🙂
Punguza stress Mkuu... Have fun
Acha uvivu unadakia kwa mbele afu unadai picha? Anza kuperuzi ukurasa Hadi ukurasa utazikuta picha kibao sema picha za current ndio bado hatujawekainachekesha wanaongea tu,hata aliyeleta mada naye hana picha hata moja.
Wewe umechanganyikiwa na kiminyo cha covid ,Njombe na Mafinga zimekuwa Town councils kabla ya kuanzishwa Mikoa na Kahama ilizitangulia ndio zikafuata ko huwezi sema eti zimekuwa kisiasa.
Miji ya kisiasa ni kama Kahama ilivyotangazwa tuu lakini haina quality hiyo zaidi ya kujaza maskini na machinga na wachuuzi tuu
We hauna argument unatereza tu..Kahama imepewa hadhi ya manispaa kisiasa.
Njombe na Mufindi ni wilaya mbazo zipo kwenye top.10 tajiri kitaifa.
Kahama kuna maskini wengi sana ndio maana mbunge wao hadi ameomba wizara iruhusu wanafunzi kwenda na viporo shuleni, jambo ambalo huwezi lisikia kwenye mji kama Njombe, makambako, mafinga etc.
Wilaya ya Kahama ina Halmashauri Tatu (Ushetu DC, Msalala DC na KMC) chini ya Mkuu wa wilaya Anamlingi Macha) Inakadiriwa wilaya ya Kahama ina Idadi ya watu 1.2 million huku Kahama Municipal Council ikiwa na idadi ya watu 320,000. Ni rahisi na mapema sana hiyo KMC kuwa Jiji kabla ya Njombe
Kiwanda gani hicho cha zaidi ya USD 70 Million? Kinazalisha nini ?Kiwanda cha billion 159 kinajengwa na mzawa tena kwenye eneo la watu masikini eti?
Kunywa pepsi ntalipa,umemaliza yoteMimi ni mtu wa tanga nimefika kahama January hii hakika kahama inazizidi baadhi ya manispaa kwa mzunguko wa fedha na wanajenga nyumba za kisasa sana na mabenk ni mengi + supermarket, nashindwa kuelewa hao wana njombe sijui wanatumia kigezo gani kuilinganisha na kahama, naona wengi wameng'ang'ania hoja ya maskini wengi ingawa sijaona viashiria vingi vya umaskini kahama, by the way hata dar maskini ni wengi kwa iyo tuseme dar hamna kitu
Kahama ingekuwa mjini si tungeona magorofa kushinda Njombe? Kahama ni kijiji kikubwa cha wachuuziWe hauna argument unatereza tu..
Unavijua vigezo vyakuwa manispaa!?
Utajiri wa wilaya sio utajiri wa mji.. soma hiyo kwanza.. mjini hakuna mashamba mjini watu wanaenda kazini sio shambani..
Sasa ukiangalia kwa kigezo hicho hapo NJOMBE wangapi wanaenda kazini!?
Vigezo vya kuupa mji hadhi ya Manispaa au jiji kwa bongo ni hovyo kabisa imagine mji wa hovyo hovyo kama kahama eti nao ni manispaa ,hivi ni vichekeshoJiji inatakiwa square kms 250 upwards idadi kweli Kahama wamekidhi kigezo cha idadi , swali linakuwa je Kahama wana eneo hilo la mji ?
You have spoken it right ,agiza gambe nalipa sasa hivi.Huo mji umeshadumaa sasa hakuna jipya zaidi ya kuzaana kuongeza maskini tuu hapoKhm ilikuwa kibiashara za magendo container za nje kushushwa zama zile na kufanya kituo cha kanda kununua mizigo ya jumla.
Miundombinu mibovu awali Mikoa Tabora,Katavi,Kigoma, sasa mikoa hiyo inamiundombinu mbadala kuunga na Bandari.
Ujio wa std gauge utapunguza kabisa malori intransit tegemeo la Khm.
Khm inasehemu ndogo s ana madini, zaidi halimashauri ya Msalala ambapo mgodi wa Bulyanhulu, Isaka vipo, ambayo ikipata wapiga debe itapata wilaya mpya.
Khm ni pakame pana awali panategemea Tabora,halmashauri ushetu na Msalala, Wilaya mpya Mbogwe ilimega eneo bora la kilimo pia.
Wengi waliwekeza khm kwa sababu miundombinu,huduma, usalama, tuendako miji midogo inaimarika.
Just imagine watu wanashindia viporo yaani ni aibu eti Magu ndio anaita Mnispaa kisa home si bora hata Kasulu ingekuwa ManispaaKahama imepewa hadhi ya manispaa kisiasa.
Njombe na Mufindi ni wilaya mbazo zipo kwenye top.10 tajiri kitaifa.
Kahama kuna maskini wengi sana ndio maana mbunge wao hadi ameomba wizara iruhusu wanafunzi kwenda na viporo shuleni, jambo ambalo huwezi lisikia kwenye mji kama Njombe, makambako, mafinga etc.
Kahama ni Soko.. na strategically hakuna mji uko katikati ya the greater east Afrika zaidi ya Kahama let that sink..Khm ilikuwa kibiashara za magendo container za nje kushushwa zama zile na kufanya kituo cha kanda kununua mizigo ya jumla.
Miundombinu mibovu awali Mikoa Tabora,Katavi,Kigoma, sasa mikoa hiyo inamiundombinu mbadala kuunga na Bandari.
Ujio wa std gauge utapunguza kabisa malori intransit tegemeo la Khm.
Khm inasehemu ndogo s ana madini, zaidi halimashauri ya Msalala ambapo mgodi wa Bulyanhulu, Isaka vipo, ambayo ikipata wapiga debe itapata wilaya mpya.
Khm ni pakame pana awali panategemea Tabora,halmashauri ushetu na Msalala, Wilaya mpya Mbogwe ilimega eneo bora la kilimo pia.
Wengi waliwekeza khm kwa sababu miundombinu,huduma, usalama, tuendako miji midogo inaimarika.