[emoji13][emoji13][emoji13]nilishtuka kuona Katoro inalinganishwa na Kahama nikacheka tu. Jana tu kampuni ya Twiga imekabidhi hundi ya 1.6 billion kama service levy kwa Halmashauri. Na uzalishaji wa dhahabu umeanza barrick.Mnapima story tu humu... Hatujui Kahama nyie ndio wale wa stendi guest mnaondokoa... Kahama HUIJUI ...
Unalinganisha kahama na Katoro!?
Hako kamji ka Katoro watu mnakasema sema Sana kwani kana fursa gani Hadi kuwa maarufu kiasi kwamba unasema panapishana kidogo na hiyo miji ambayo ni mikubwa?Nadhan unapafahamu Katoro, panapishana kidogo sana na Geita mjini na hata Kahama
Ishu sio wingi wa housing units au watu bali ubora wa hayo maisha na uwezo wa fursa kugenerate pesa za maanaKahama kwamujibu wa taarifa za mpango kabambe (Master plan) iliyoandaliwa kahama imekuwa along Rwanda-Isaka Highway kwa km 13 kupelekea Isaka na kilomita 10 kuelekea Rwanda. Pia imekuwa kwa upande wa kuelekea tabora kwa kilomita 5 na kuelekea Mwanza(Mhongolo) kwa kilomita 8
Unless utaniambia kahama watu wanakata mashambani there is no way kahama itakuwa na housing unit chache kuliko NJOMBE huku ikiwa na idadi ya watu mara mbili ya NJOMBE!
Dissertation yangu nilifanya juu ya athari za uwekezaji mkubwa (Mega investments) kwenye spatial growth pattern za miji.Ishu sio wingi wa housing units au watu bali ubora wa hayo maisha na uwezo wa fursa kugenerate pesa za maana
Mnaweza kuwa wengi lakini maskini wa kutupwa japo kwa masoko ya bidhaa za rejareja huwa yanapenda hivyo tofauti na miji yenye watu wa income kubwa huku utapata sekta ya hotel na real estate zinakuwa kubwa kuliko huko uswahilini.Na hii ndio tofauti kubwa Kati ya Njombe na Kahama ..
But tangu kilimo biashara cha horticulture produce hususani greengold parachichi kianze kushika Kasi huku Njombe kimefanya hata mzunguko wa pesa kuwa mkubwa mjini Njombe tofauti na hapo awali ,,hii sasa inastimulate na other retail businesses ambazo ndio zimetapakaa huko Khm.
Mwisho kadiri Mji unavyofunguliwa kwa miundombinu ndivyo muingiliano unazidi kunoga na tunategemea mambo yatanoga zaidi pindi migodi ya liganga na mchuchuma ikianza plus miradi mikubwa ya mabwawa ya Umeme ya Ruhuji na Rumakali
Kahama wametenga maeneo SPECIAL ECONOMIC ZONE /EXPORT PROCESSING ZONE kwa ajili ya kuvutia wawekezaji na ndio kitu nadhani namba moja alikifurahia na kuhamua kumpa msamaha Mkurugenzi. Naimani wawekezaji kwenye viwanda hawataiachia hiyo fursa kutokana na mazingira mazuri ya uwekezaji yaliyopo Kahama. Kuna kitu kikubwa kinakuja tusubirie na sensa ya 2022 itakuja na majibu mazuri pia.Dissertation yangu nilifanya juu ya athari za uwekezaji mkubwa (Mega investments) kwenye spatial growth pattern za miji.
Kwa mfano kuimarika kwa uwekezaji kwenye Gas hakuathiri sana ukuaji wa Lindi na mtwara.. na uwepo wa migodi wa Bulyanhulu na Buzwagi athari yake kwa ukuaji wa kahama ni mdogo sana..
Nimeraise issue hiyo kwa sababu ya miradi uliyoitaja.. ya chuma nk.. athari yake kwa mji wa NJOMBE ni ndogo sana.. spending na contracts kubwa zilikuwa zikifanyika DSM japo mgodi uko kahama kwa kesi ya Barrick.. huku Geita gold athari kubwa ilikuwa kwanza kuliko Geita kwenyewe..
Mwanzoni kuna influx inayotokana na speculation.. ambayo.inaphase out in just few years mwanzoni wafu walikimbilia kahama kuwekeza wakidhani madini na biashara ya mgodi itahusisha wafu kila siku.. just to realize majority of contractors wako headquartered DSM the most walichopata ni kusupply matunda na catering π
Kahama imejaa wachuuzi.. yes ila kwa sasa imekwisha panua catchment yake... Kuanzia Kibondo, Kakonko, Nyakanazi, Ushirombo, Runzewe, Masumbwe, Kakola, Kharumwa, Geita, Segese, Ulowa, Ushetu, Nzega, Isaka, Ngara, Shinyanga, Hadi tabora wanaprocure vitu vya jumla kutoka Kahama.
Mchele wa kahama unatoka mbali sana, Nzega, Bukoli, Ulowa, Busangi, Msalala, Salawe, Mapaka maeneo ya tabora urambo huko wote wanapeleka mchele kahama, kwa sababu moja, pamejiaestablish kama soko la uhakika, mashine za kisasa, umeme wa uhakika na storage facilities.. na ukipata fedha yako Banking facilities ziko nyingi kukusaidia.
Manufacturing is the new era, uzalishaji unaongezeka kila siku na hii itaendelea kuistrengthen kama a go to place kwa wakulima na wanunuzi wa bidhaa za jumla.. vyakula vya wanyama animal feed, usindikaji wa mchele, matunda na mahindi.. utendenezaji wa nguo, soon karibu textiles na nida kutaifanya kahama kubwa kitovu cha biashara ya zao la pamba.. mafuta ya kula na sabuni.. kiwanda cha kutengeneza ceiling boards kutokana na pumba za mchele nk..
Mabadiliko ni makubwa... Na Ulisikia Jafo akisema.. mpango kilomita 36 zilizo kwenye mpango tayari zitakuwa ni proper asphalt na sio surface dressing tunazojenga... Ila kwa kupandishwa hadhi nadhani kutakuwa na kilomita zaidi ya 30 za ziada hiyo pekee itabadilisha kahama mno.. .maana kuna maeneo mengi yenye nyumba bora sana ila hazifiki.
Lile eneo ni hekta 500+ na currently kuna viwanda vingi sana eneo hilo.. lililokuwa shamba la NARCOKahama wametenga maeneo SPECIAL ECONOMIC ZONE /EXPORT PROCESSING ZONE kwa ajili ya kuvutia wawekezaji na ndio kitu nadhani namba moja alikifurahia na kuhamua kumpa msamaha Mkurugenzi. Naimani wawekezaji kwenye viwanda hawataiachia hiyo fursa kutokana na mazingira mazuri ya uwekezaji yaliyopo Kahama. Kuna kitu kikubwa kinakuja tusubirie na sensa ya 2022 itakuja na majibu mazuri pia.
Kuna eneo jipya kwa ajili ya viwanda vikubwa, Nyashimbi na Chapulwa. Nyashimbi wametenga karibia ekari 2,000 kwa ajili ya viwanda vikubwa tu.Lile eneo ni hekta 500+ na currently kuna viwanda vingi sana eneo hilo.. lililokuwa shamba la NARCO
Nimesikia hata stand mpya inaweza isijengwe Mbulu ikasogezwa MwendakulimaKuna eneo jipya kwa ajili ya viwanda vikubwa, Nyashimbi na Chapulwa. Nyashimbi wametenga karibia ekari 2,000 kwa ajili ya viwanda vikubwa tu.
Na ku a lile lililokuwa eneo la uwanja wa ndege Njia ya Mhongolo walikopewa SSB na wengine ..ndio nyashimbi huko!?Kuna eneo jipya kwa ajili ya viwanda vikubwa, Nyashimbi na Chapulwa. Nyashimbi wametenga karibia ekari 2,000 kwa ajili ya viwanda vikubwa tu.
Ndio njia ya Mhongolo kama unaenda KinagaNa ku a lile lililokuwa eneo la uwanja wa ndege Njia ya Mhongolo walikopewa SSB na wengine ..ndio nyashimbi huko!?
Ahsante kwa kunijulisha kiongozi. Hongera kwa hadhi stahili. Kinaga na Guido kuna miradi miwili mikubwa inakuja... πNdio njia ya Mhongolo kama unaenda Kinaga
Mkuu safi sanaa, ni miradi ipi?Ahsante kwa kunijulisha kiongozi. Hongera kwa hadhi stahili. Kinaga na Guido kuna miradi miwili mikubwa inakuja... π
Makazi ya watu wa kipato cha kati na JuuMkuu safi sanaa, ni miradi ipi?
Kahama is π₯π₯π₯Makazi ya watu wa kipato cha kati na Juu
Ndio kwanza kazi imeanza... Miaka mitano mpk kumi ijayo tutakuwa mji tofauti na wenye haiba tofauti ... Mungu ampe uhai Mshumba..Kahama is [emoji91][emoji91][emoji91]
PPPNi serikali au private project?
Mjadala uishie Hapa mzee!! Popote ulipo kunywa K_Vant ulale mkuu!! haka kajamaa kwa maneno ya kashifa afu ya kipimbipimbi tu kwa watu wa Lake zone kumbe ni kangumbaru kazuri tu!! Nafikiri katakaa kwa kutulia kama kanakunya kusoma hi zaiidi ya Mara 200!! Kaelewe na kakome kubisha bisha tu bila facts Wala Figures!!Dissertation yangu nilifanya juu ya athari za uwekezaji mkubwa (Mega investments) kwenye spatial growth pattern za miji.
Kwa mfano kuimarika kwa uwekezaji kwenye Gas hakuathiri sana ukuaji wa Lindi na mtwara.. na uwepo wa migodi wa Bulyanhulu na Buzwagi athari yake kwa ukuaji wa kahama ni mdogo sana..
Nimeraise issue hiyo kwa sababu ya miradi uliyoitaja.. ya chuma nk.. athari yake kwa mji wa NJOMBE ni ndogo sana.. spending na contracts kubwa zilikuwa zikifanyika DSM japo mgodi uko kahama kwa kesi ya Barrick.. huku Geita gold athari kubwa ilikuwa kwanza kuliko Geita kwenyewe..
Mwanzoni kuna influx inayotokana na speculation.. ambayo.inaphase out in just few years mwanzoni wafu walikimbilia kahama kuwekeza wakidhani madini na biashara ya mgodi itahusisha wafu kila siku.. just to realize majority of contractors wako headquartered DSM the most walichopata ni kusupply matunda na catering π
Kahama imejaa wachuuzi.. yes ila kwa sasa imekwisha panua catchment yake... Kuanzia Kibondo, Kakonko, Nyakanazi, Ushirombo, Runzewe, Masumbwe, Kakola, Kharumwa, Geita, Segese, Ulowa, Ushetu, Nzega, Isaka, Ngara, Shinyanga, Hadi tabora wanaprocure vitu vya jumla kutoka Kahama.
Mchele wa kahama unatoka mbali sana, Nzega, Bukoli, Ulowa, Busangi, Msalala, Salawe, Mapaka maeneo ya tabora urambo huko wote wanapeleka mchele kahama, kwa sababu moja, pamejiaestablish kama soko la uhakika, mashine za kisasa, umeme wa uhakika na storage facilities.. na ukipata fedha yako Banking facilities ziko nyingi kukusaidia.
Manufacturing is the new era, uzalishaji unaongezeka kila siku na hii itaendelea kuistrengthen kama a go to place kwa wakulima na wanunuzi wa bidhaa za jumla.. vyakula vya wanyama animal feed, usindikaji wa mchele, matunda na mahindi.. utendenezaji wa nguo, soon karibu textiles na nida kutaifanya kahama kubwa kitovu cha biashara ya zao la pamba.. mafuta ya kula na sabuni.. kiwanda cha kutengeneza ceiling boards kutokana na pumba za mchele nk..
Mabadiliko ni makubwa... Na Ulisikia Jafo akisema.. mpango kilomita 36 zilizo kwenye mpango tayari zitakuwa ni proper asphalt na sio surface dressing tunazojenga... Ila kwa kupandishwa hadhi nadhani kutakuwa na kilomita zaidi ya 30 za ziada hiyo pekee itabadilisha kahama mno.. .maana kuna maeneo mengi yenye nyumba bora sana ila hazifiki.
Ila wewe jamaa kwakuwa ubongo upo karibu Sana na matarqoo sababu ya upungufu wa urefu umesababisha hata akili isinyae kabisa!!Ungefika kote kwanza ndio ungepata ulinganisho ulio fair but hiyo Kahama bila shaka imeendelea kushinda huko lalago ,Hungumalwa au mwigumbi ulipotoka [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hata hivyo tunalinganisha Njombe Mji na Kahama Mji (Manispaa uchwara) na sio Mkoa wa Njombe as a whole
Karibu Sana Njombe hutojuta hii ni nchi ya ahadi iliko bustani ya Mungu
Katika vitu sifagilii kabisa ni huu upuuzi uliouandika hapa.Sasa huu ni utoto na ufinyu wa kufikiri,
Wewe mtu mwenye kimo kifupi Michembe unaijua au unaisikia tu?haya ndio madhara ya kushindia kula michembe na mapanki kutwa mara 4.
Inajigamba au ndivyo takwimu zinavyosema?Kahama inayojigamba kuwa na mapato ya ndani makubwa
Hujui lolote.mumeshindwa kutumia hizo pesa kujenga stand unakuja kulia Lia hapa?
Kiazi mama'koNa ulivyo kiazi na hapa utabisha,
Hahahahahahaha Logical ππππ siji sehemu zenye watu wengi wafupi na wenye dark color kupitiliza.Njoo Njombe ule matunda anuwai ikusaidie kuamsha afya ya akili uwe unaleta vitu logical