Kijiko yupo vizuri sana sijui tatizo nini, ila kocha wa simba naye ni tatizo ashukuru ana kikosi kizuri ila hana mbinu za mpira pia hana mbinu za kutumia players tofauti akifanya hivyo anakwama
Kahata mchezaj mzuri tu sema misumar bongo ndio tishio sijawai kuona mchezaj akatoka Kenya akaja kuwika bongo zaid ya bonifas Amban na Ben mwalala sijui hawaamin kweny uchawi