GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Nani mmiliki wa kahawa Tanganyika? Serikali au mkulima?
Kwa nini Serikali inatumia nguvu nyingi sana kuzuia wakulima kwenda kuuza kahawa yao Uganda, mahali wanakoamini kuwa watapata faida nzuri?
Serikali ya Tanganyika inaionea Uganda wivu?
Serikali haitaki raia wake "watajirike"?
Ni mbinu za wahasimu wa mkoa wa Kagera wenye nia ya kuukandamiza mkoa wa Kagera kiuchumi ili waendelee kuusimanga kuwa ni mkoa maskini ilhali ni "nchi" iliyobarikiwa?
Nani mnufaika wa hizo harakati za Serikali kuwazuia wakulima wa kahawa kwenda kuuza mazao yao kwenye soko zuri na la uhakika?
Kwa nini Serikali inatumia nguvu nyingi sana kuzuia wakulima kwenda kuuza kahawa yao Uganda, mahali wanakoamini kuwa watapata faida nzuri?
Serikali ya Tanganyika inaionea Uganda wivu?
Serikali haitaki raia wake "watajirike"?
Ni mbinu za wahasimu wa mkoa wa Kagera wenye nia ya kuukandamiza mkoa wa Kagera kiuchumi ili waendelee kuusimanga kuwa ni mkoa maskini ilhali ni "nchi" iliyobarikiwa?
Nani mnufaika wa hizo harakati za Serikali kuwazuia wakulima wa kahawa kwenda kuuza mazao yao kwenye soko zuri na la uhakika?