Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] acha basi kutudhalilisha sisi wanywa alkasusiUlishakunywa Kitu inaitwa cupchino??
Kuhawa inatengenzwa Kwa Maziwa
Ipo kama juice ile nzito au uji daah
Ile ndiyo Kahawa Sasa sio hayo maji Unakunywa hapo
Kanywe wewe, yeye kapenda hayo hayo maji yake,Ulishakunywa Kitu inaitwa cupchino??
Kuhawa inatengenzwa Kwa Maziwa
Ipo kama juice ile nzito au uji daah
Ile ndiyo Kahawa Sasa sio hayo maji Unakunywa hapo
Mkuu cappuccino sio lazima iwe nzito au iwe na maziwa huo ni uamuzi wa mnywajiUlishakunywa Kitu inaitwa cupchino??
Kuhawa inatengenzwa Kwa Maziwa
Ipo kama juice ile nzito au uji daah
Ile ndiyo Kahawa Sasa sio hayo maji Unakunywa hapo
Ok sawaMkuu cappuccino sio lazima iwe nzito au iwe na maziwa huo ni uamuzi wa mnywaji
[emoji16][emoji16][emoji16]kuna bank moja bana wanatoa hii kitu(tawi la wazito),sasa kuna msomali mmoja akawa daily asubuhi anakuja kufanya miamala ya kibenk,anapiga saa ya kuondoka anakinga nyingine anasepa nayo,bank wana mind wanamkaushia maana ni mteja tena VIP.Ulishakunywa Kitu inaitwa cupchino??
Kuhawa inatengenzwa Kwa Maziwa
Ipo kama juice ile nzito au uji daah
Ile ndiyo Kahawa Sasa sio hayo maji Unakunywa hapo
Hahahaha Hahahaha mkuu Hiyo Kitu ni level nyingne aise[emoji16][emoji16][emoji16]kuna bank moja bana wanatoa hii kitu(tawi la wazito),sasa kuna msomali mmoja akawa daily asubuhi anakuja kufanya miamala ya kibenk,anapiga saa ya kuondoka anakinga nyingine anasepa nayo,bank wana mind wanamkaushia maana ni mteja tena VIP.
Siku moja si akaja na mkate bana na mwanae,aaaah
Wakamzingua,kumbe alikuwa anatumwa bana,wala hela sio zake.