Jamani wana kahororo secondary, hali ya hii shule si nzuri hata kidogo kwa sasa, mimi nimemalizia pale kidato cha sita mwaka huu, lakini ufaulu wake ni wa chini sana, walimu wamekuwa si wa kuzingatia kuingia katika vipindi vyao, kiasi kwamba inapita hata mwezi mzima mwalimu hajaingia class, sababu hamna, kaamua tu!
Hii imewatokea hasa wanafunzi wenzetu wa masomo ya sayansi(pcm) na kusababisha kufeli kwao.
Ahsanteni