Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu: DAWASA bado kuna madeni yaliyofikia takribani bilioni 40

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu: DAWASA bado kuna madeni yaliyofikia takribani bilioni 40

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Mkama Bwire ameeleza hali ya madeni na kukiri kuwa bado kuna madeni yaliyofikia takribani bilioni 40. Madeni hayo yamegawanyika katika maeneo matatu:
  1. Taasisi mbalimbali: Deni lipo Takribani bilioni 22.
  2. Wateja walioondolewa huduma: Madeni haya ni takribani milioni 15.
  3. Wateja wa nyumbani: Wanadaiwa bilioni 10, lakini bado wanapata maji ambapo madeni hayo ni vimilivu.
 
Madeni ya bilioni 40 ingekuwa uwekezaji binafsi au taasisi inayotakiwa kuingiza faida ingeshafilisika na kufa kifo cha mende.
 
Wacha wafilisike tu, watendaji wao ni wapuuzi Sana. Nitaleta kisa kimoja uone upuuzi wa watendaji wao
 
Back
Top Bottom