Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Wizara ya Michezo nchini Tanzania , kwamba Kaimu Mkurugenzi mpya wa idara ya michezo , Mh Ally Mayai , ametembelea ofisi ndogo ya kitengo chake Mjini DSM , na baadaye akatembelea Uwanja wa Mkapa kujionea hali halisi ya uwanja huo na changamoto zake .
Tunamtakia kila la heri kwenye majukumu yake mapya .
Tunamtakia kila la heri kwenye majukumu yake mapya .