Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Shule na exposure muhimu ndugu...Uyo jamaa Mimi nampenda sana hapendi uchawa Kawa wachambuz wengine anajulikana kama ni shabiki wa yanga lakini jamaa hanaga uchawa kabisa yey anafanya Kaz yak ya uchambuzi vizuri
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
yupo kama Privadinho ni shabiki wa Simba lakini hana unazi na ni mchapakazi mpaka kaajiriwa Yanga.Uyo jamaa Mimi nampenda sana hapendi uchawa Kawa wachambuz wengine anajulikana kama ni shabiki wa yanga lakini jamaa hanaga uchawa kabisa yey anafanya Kaz yak ya uchambuzi vizuri
Shule hii hii ya kupata 0?Shule na exposure muhimu ndugu...
Wapi huko?Shule hii hii ya kupata 0?
Hapa nadhani una nia ya kuwachokonoa wananchiyupo kama Privadinho ni shabiki wa Simba lakini hana unazi na ni mchapakazi mpaka kaajiriwa Yanga.
Yeah, Form Six alipata division zero, ila mi namtetea maana alikuwa busy na soka, shule akaiweka kando. Lakini alishtuka akastaafu soka akiwa bado kijana, akaenda chuo kuanza na Certificate, ambayo ilimpeleka mbele zaidi hadi Higher EducationWapi huko?
Uwanja gani anaukaimu?Rafiki mayai tembele
Sio mtu mzuri connection zinamdondokea Sana
1---kaimu meneja uwanja yeye
2---afsa masoko mwalimu nyerere airport yeye
Uchambuzi yeye
Shule gani, level na combination ipi alipata sufuri?Yeah, Form Six alipata division zero, ila mi namtetea maana alikuwa busy na soka, shule akaiweka kando. Lakini alishtuka akastaafu soka akiwa bado kijana, akaenda chuo kuanza na Certificate, ambayo ilimpeleka mbele zaidi hadi Higher Education
Tafuta shule alomaliza six utaona yai lakeShule gani, level na combination ipi alipata sufuri?
Sawa muzeye......Tafuta shule alomaliza six utaona yai lake
Sasa mbona umeshikilia tu alipata zero wakati kumbe alisahihisha makosa na kupata mpaka elimu ya juu? Kwa sasa ameshakaa vizuri kielimu hatutakiwi kuangalia makosa ya nyuma ambayo ameshayarekebisha.Yeah, Form Six alipata division zero, ila mi namtetea maana alikuwa busy na soka, shule akaiweka kando. Lakini alishtuka akastaafu soka akiwa bado kijana, akaenda chuo kuanza na Certificate, ambayo ilimpeleka mbele zaidi hadi Higher Education
Huyo atakuwa profesa Anangisye???Sasa mbona umeshikilia tu alipata zero wakati kumbe alisahihisha makosa na kupata mpaka elimu ya juu? Kwa sasa ameshakaa vizuri kielimu hatutakiwi kuangalia makosa ya nyuma ambayo ameshayarekebisha.
Kuna jamaa yangu mmoja ni Profesa mbobevu na ni Mkuu wa Chuo kimajawapo kikubwa nchini ila alipata Div 4 kidato cha nne akaenda ualimu vyuo vya Diploma akafundisha baadae akaenda degree kisha Masters USA na akapiga na PhD baadae akawa Prof. Sasa hapo unakuja mtu kama wewe unasema Prof alipata Div 4 huko nyuma ina madhara gani wakati alishajisahihisha?
Tuache husda na chuki kwa watu wenye mafanikio. Tuchukue kama funzo ili na sisi turekebishe tulipokosea katika njia za kuelekea mafanikio
Sijamtaja mtuHuyo atakuwa profesa Anangisye???
Ngoja tuone we na div yako unaendeleaje huko wizara ya divisionYeah, Form Six alipata division zero, ila mi namtetea maana alikuwa busy na soka, shule akaiweka kando. Lakini alishtuka akastaafu soka akiwa bado kijana, akaenda chuo kuanza na Certificate, ambayo ilimpeleka mbele zaidi hadi Higher Education