Wapi nimesema uwezo wetu mdogo? Number hazidanganyi .Kumbe unajua kabisa uwezo wenu ni mdogo ila mna upepo tu kwa sasa.
Ball possession without goals is like sex without happy ending. Utterly useless.Butua Butua football
Mkitcheza mechi za kimataifa mnapigishwa mbzi kwenye lami
Ova
Wekundu wa msimbazi ni klabu bora kabisa hapa nchini na Africa kwa ujumla, karibu sana siku ya jumatano wakati tukiwafundisha watoto wa mswati namna kabumbu linavyosakatwa kwa umahiri mkubwa.Butua Butua football
Mkitcheza mechi za kimataifa mnapigishwa mbzi kwenye lami
Ova
Mpira ni starehe wewe, sie wengine tunavutiwa zaidi tunavyoona Clotus Chama Chota anavyouchezea mpira kwa umahiri mkubwa, bila kumsahau midfield maestro Mkude Simba anavyobadili uwanja mara kwa mara kwa pasi zake murua, umesahau krosi za beki bora kabisa wa kulia shomari Kapombe? Huwa nasikia raha sana ninavyomuona Erasto Nyoni akicheza, usiwasahau Okwi, MK14, Bocco nk.Ball possession without goals is like sex without happy ending. Utterly useless.
Sisi furaha yetu ni final product, Kombe. Haishangazi bingwa mara 27 na anayefuata mara 19.Mpira ni starehe wewe, sie wengine tunavutiwa zaidi tunavyoona Clotus Chama Chota anavyouchezea mpira kwa umahiri mkubwa, bila kumsahau midfield maestro Mkude Simba anavyobadili uwanja mara kwa mara kwa pasi zake murua, umesahau krosi za beki bora kabisa wa kulia shomari Kapombe? Huwa nasikia raha sana ninavyomuona Erasto Nyoni akicheza, usiwasahau Okwi, MK14, Bocco nk.
Hich kidhungu muzee ni shida, ungeandika kataika lugha yetu tu.You may call me any name you want, but what i am sure of, it's three points when we met.
Punguzeni kelele, ndio kwanza ligi bado mbichi.
Mzungu pori wenu ndivyo snavyowakaririsha hivyo,hlf mwisho wa msimu mnakimbilia fifa!sijasema msishangilie ,nimesema muwe na kiasi,tatizo lenu mnashangilia kama ligi imeshaisha na mmetawazwa kuwa mabingwa wapya jambo ambalo haliwezi kutokea abadan.
Dua la kuku hilo mkuu,ushindi tunaoendelea kuupata unazidi kutupa umoja nje na ndani ya uwanjani,gari ndio ishawaka hiiMuda sio mrefu mtaanza kuparuana, tumeshawazoea sana mbona.
Huu ni mzunguko wa 13 ligi ina mechi 38 ukitoa hapo inabaki mechi 25 na jumla ya points 75 bado safari ni ndefu sana haitoshi kuanza kelele nyingi muda huu.Usijidanganye, hii ligi ilianza zamani sana. Kumbuka matokeo mazuri kwa Yanga yanawapa motisha kuendelea mbele wakati ambapo matokeo mabaya ya Simba yanawapunguzia confidence.
Naongea haya huku nikiumia.sana kwa matokeo ya kusuasua ya Simba yakichangiwa na kocha asiyejua wapi afanye sub na kwa nini.
Huu ubingwa nina uhakika nao kwa misimu mitatu mfululizo, kwa nini nasema hivyo kwasababu ya uwekezaji mkubwa tunaoufanya pamoja na malengo tuliyonayo sisi kama klabu.Sisi furaha yetu ni final product, Kombe. Haishangazi bingwa mara 27 na anayefuata mara 19.
Endeleeni kuuchezea hata mwaka huu. Bingwa ni Yanga au Azam.
Wakuchukua misimu mitatu mfulilizo kwa uzoefu wanajulikanaHuu ubingwa nina uhakika nao kwa misimu mitatu mfululizo, kwa nini nasema hivyo kwasababu ya uwekezaji mkubwa tunaoufanya pamoja na malengo tuliyonayo sisi kama klabu.
Hilo nalikubali sana. So far muda unasema nani baba TPL toka zama hizo.Muda ni hakimu mzuri siku zote.