Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
1-1 mkuuYanga anaongoza mpaka sasa ila lazima alambishwe sukari ya kagera.
Wapo wanalishwa sukari za kageravyura mpoooooooooo!!??
Kabisa mkuu naona leo kagera hataki masihara anataka kufuta uteja kwa vyuraMkuu tutulie hawa jamaa watatuambia kama maharaghe ni mboga au ni zao la biashara.
Hamkosi visababuSimba washatuma m pesa kwa marefa