DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,090
Hahaha, huu mchezo hauhitaji hasira.kwa kweli kagera amenichosha mno,simu naiona nzito.
Bado dk ngapi vile?Uishe tu matokeo hayo yanatosha bana, hao kagera hawaeleweki ujue
Umekwisha Yanga mbabe kwa 2-1 Mkuu!!!Bado dk ngapi vile?
Safi sana, 5 points gapUmekwisha Yanga mbabe kwa 2-1 Mkuu!!!
Umekwisha Yanga mbabe kwa 2-1 Mkuu!!!
Safi sana. Mdogo mdogo tutachukua ndoo tuliyowaazimisha Bi Hindu FcUmekwisha Yanga mbabe kwa 2-1 Mkuu!!!
Wameingia mitini wanashindwa hata kusema yanga ametema sukari waliyokuwa wanasema ameisha rambishwa,Mikia bhana imeshaingia mitini au network zinasumbua?
Wamenaki wachache tu wenye roho ngumu kama ya paka.
Mkuu huyu jamaa hujamwamini?
Wakisema kwa sauti nitag mkuu.Hahahaha, Hawa Yanga sasa hii sifa
Bado upo?Funga nyanga fc hao.
Mkuu, nani kawaloga nani?washaroga wajinga wale.