DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,090
Mkuu, nani kawaloga nani?washaroga wajinga wale.
Mkuu, nani kawaloga nani?
Huu ulozi umefahamika baada ya Yanga kushinda?
Ndoo gani?Safi sana. Mdogo mdogo tutachukua ndoo tuliyowaazimisha Bi Hindu Fc
Hahahaha, kwahy mnataka wajitikise au wafanye km wanajikuna?Mikia semeni Yanga wana njaa tusikie.
Pole mkuu ila wanaweza kata rufaa may be Yanga walicheza zaidi ya 11 au mchezaji alitakiwa atumikie adhabu lkn kachezeshwaMkuu hongereni sana kwa matokeo haya, kiukweli siku yangu imeharibika sana leo, roho inaniumaaaaaaaaa sana.
Tuone mtu anajikuna akione cha moto.Hahahaha, kwahy mnataka wajitikise au wafanye km wanajikuna?
Waulize Bi HIndu fc watakueleza vizuri mkuuNdoo gani?
Bado uko machoMpira ukiisha kwa matokeo haya nitalala mapema sana leo.
Hahahahaha. Nilikuambia lkn kuwa sio kila mawingu huleta mvuaLeo siku yenu, semeni yote kwasababu kupata matokeo ugenini sio jambo dogo au rahisi mkuu.
Wafanye kama wanajikuna... Kisha watikise mikia yaoHahahaha, kwahy mnataka wajitikise au wafanye km wanajikuna?
HahahahaTuone mtu anajikuna akione cha moto.
a.k.a malalamiko FCMbumbumbu aka Bi hindu fc huwezi waona humu baada ya timu ya Wananchi kufanya yake
Semeni yote ila katika jambo ambalo nina uhakika nalo ni points tatu kwenye mechi tutakayokutana na nyie tena baadae hapo mwakani, siku hiyo ata muwe magolikipa 10 na mchezaji wa ndani mmoja tu ni lazima mtapigika tu.Safi sana. Mdogo mdogo tutachukua ndoo tuliyowaazimisha Bi Hindu Fc
Sio kupata matokeo mazuri ugenini pia nitimu gani unacheza nayo na unapata hayo matokeo. Kagera sio timu ya mchezo mchezo hongera YangaLeo siku yenu, semeni yote kwasababu kupata matokeo ugenini sio jambo dogo au rahisi mkuu.
Kipi bora mkuu kati ya KUSHINDA kwa taaaabu na KUSHINDWA au KUDROO kwa taaaabu kama ilivyokuwa janaTimu yenyewe inashinda kwa taaaabu