Mkuu hongereni sana kwa matokeo haya, kiukweli siku yangu imeharibika sana leo, roho inaniumaaaaaaaaa sana.
Kweli mkuu! Kwa kumbukumbu hawa Kagera ndio msimu uliopita walitoboa tundu la mikia!Sio kupata matokeo mazuri ugenini pia nitimu gani unacheza nayo na unapata hayo matokeo. Kagera sio timu ya mchezo mchezo hongera Yanga
Wewe Unataka tukae kimya ili iweje? OK fanya kama unajikuna basitatizo lenu ni moja ,mnaongea sana.
Sifa zote leo mtampa ila nina uhakika mwishoni mtamkimbiza tu au atakimbia mwenyewe kwa njaa.
Nimeshafanya mawasiliano na wakili wangu aangalie namna ya kufungua shauri hili mahakama kuu.
Kaitaba stadium ni moja ya viwanja bora kabisa vinavyotumika kwenye ligi kuu nchini, narudia ni moja ya viwanja bora kabisa, dhana ya kupata matokeo mkoani inatokana na uhalisia wa viwanja vinavyopatikana huko.hivi nyie mikia naona mmesimamisha mikia yenu hiyo kwa hasiri ebu shusheni kwanza......!
nauliza hivi leo yanga kachezea uwanja wa taifa ndio maana kashinda?
si nauliza?
pumbavuuu yanga si wa mchezomchezo na safari ijayo tutawakata mikia hiyo kwa kisu butu na kuwanyoa kwa jiwe nywele hizo
Hivi umewahi msikia Haji Manara mkishinda mechi anavyoongea. Mbona huwa humkatazi kumwambia ligi bado. Mkuu wewe kama unaboreka na shangilia yetu usiingie kwenye jukwaa hili.sijasema msishangilie ,nimesema muwe na kiasi,tatizo lenu mnashangilia kama ligi imeshaisha na mmetawazwa kuwa mabingwa wapya jambo ambalo haliwezi kutokea abadan.
Semeni yote ila katika jambo ambalo nina uhakika nalo ni points tatu kwenye mechi tutakayokutana na nyie tena baadae hapo mwakani, siku hiyo ata muwe magolikipa 10 na mchezaji wa ndani mmoja tu ni lazima mtapigika tu.
Jifunike gubi gubi ulale mkuu Sisi leo tunakesha.Mwanipa jaka moyo wakuu, leo yenyewe sina raha kabisa.
mkuu kaaa ukijua kwamba hakuna uwanja usiyo bora sema tu jitihada zako ndizo zitakufanya ushinde.....sijui kama uliona mechi kati ya lipuli na simba naweza sema wote ile siku walikuwa wamelewa maaana ule ni uzembe uliopitiliza narudia tena ni uzembe uliopitiliza ushindi popote bhana mwenzio akifanya vizuri mpongeze hata kwa kinafiki bhana young africans is the best oneKaitaba stadium ni moja ya viwanja bora kabisa vinavyotumika kwenye ligi kuu nchini, narudia ni moja ya viwanja bora kabisa, dhana ya kupata matokeo mkoani inatokana na uhalisia wa viwanja vinavyopatikana huko.