Kajala akanusha kumshtaki mama yake Wema

Dougiemasta

Sasa Jestina kashushiwa kipondo heavy na teamkajala kwa kuwarecord kina Kajala na wenzie wakati wanamsema wema na kuzisambaza...

Dawa ya wambea ndio kama hivyo sa hivi anaugulia maumivu

wamemuonea bhana kwani uongo?
 
Your back Bae.....

Wanamuonea nani?? Jestina ni kweli kawarecord halafu kampelekea huyo Dougie nae akazirusha Insta... baada ya hapo ndio kipigo kikafatia

am back miss u
wamemuonea jestina hakustahili kipigo maana kama kuteta wameteta kweli
 
Dougiemasta

Sasa Jestina kashushiwa kipondo heavy na teamkajala kwa kuwarecord kina Kajala na wenzie wakati wanamsema wema na kuzisambaza...

Dawa ya wambea ndio kama hivyo sa hivi anaugulia maumivu

Nasikia sio jestin aliyerecord , walikuwa watu wengi wakiwemo wadada wa saloom wakati wanayaongea huku wanapata Lunch, ss hao wadada wa salon ndio waliorecord na kuisambaza..!
 
Yaani kajala kaumbuka vibaya

Halafu wema walikuwa wanamuonya hakusikia

Ila dah bongo mavi wanaaibisha yaani ck kawavuruga na wao hawajali mradi wanapata pesa



Haaa anasema kuna watu wanawachonganisha sasa pale maneno anatamka kwa kinywa chake wazi wazi.... unafiki haufichiki ati

Ila jaman Jestina nae si angepiga kimya tu, ajirudie zake majuu fasta

Halafu huyo meki mmmmh wa ajabu...........
 
Jestina nasikia kaachika kwa huyo bwana aliyeolewa nae may be bado analia plus mume aliyezaa nae alifarika so majanga juu ya majanga

Keshaachika kwa yule shotii wake..... jaman na alivyo mwembamba halafu kapewa mkongoto
 
Jestina nasikia kaachika kwa huyo bwana aliyeolewa nae may be bado analia plus mume aliyezaa nae alifarika so majanga juu ya majanga

Stop lying ✋✋✋ smh why post some shit you have no idea about? Umewachanisha wewe?au💃💃 bitch swerve#
 
Stop lying ✋✋✋ smh why post some shit you have no idea about? Umewachanisha wewe?au💃💃 bitch swerve#

Povu lilivyokutoka inaonesha ni jinsi gani ulivyo na kiherehere ndo maana umepigwa.By the way siwezi kukutukana maana matusi ni yaleyale sijaona mapya so kama ni bingwa wa kutukana wewe tukana tu maana unatiisha huruma stress zimekujaa bado na vipigo juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…