TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
- Thread starter
-
- #21
Mkuu mimi siyo mpiga picha niwe na kumbukumbu za pichaWeka picha ya huo udangaji
Waswahili bana, unaweza kuta ulikuwa unamtaka amekukataa sasa umeanza kumchafua kwa maneno ya uongo yasiyo na uthibitisho.Mtoto kaipokea Mirathi kutoka kwa mama yake na anaisimamia vema kabisa bila shida yeyote.
Maisha ni kupanga,ukiamua kumsomesha mtoto ili ndiyo uwe urithi wake wewe msomeshe,ikiwa una chembe chembe za Udangaji na Usimbe basi mwanao mrisishe hivyo ili vimsaidie maishani.
Ni hayo tu kwa Leo.
Ndimi Mzee wa Sina mengi.
TUKANA UONE
Kama kuna vitu ambavyo jamaa anajutia kwenye maisha yake ni kuzaa na yule msimbeP Funk Majani, ni mwamba sana. Yupo kimyaaa kama vile hamuoni msimbe wake
Exactly hakuna anayekataa MAKU YA REBU,nikipewa nachakata kisha najikataa kwasababu ni wasimbeWaswahili bana, unaweza kuta ulikuwa unamtaka amekukataa sasa umeanza kumchafua kwa maneno ya uongo yasiyo na uthibitisho.
unao uthibitisho kama hadangi?Unao uthibitisho kwamba huwa anadanga?
Kuna sehemu nimesema hadangi?unao uthibitisho kama hadangi?
Oya π€£π€£
Dunia inaenda kasi sana aisee, yaani Mama mzazi anakua anakutana na wanaume wanaotoka na binti yake!
Tena sio mwanaume mmoja tu,wanabadilishana kuendana na muda.
kipi unachojua, ana danga au hadangi?Kuna sehemu nimesema hadangi?
Hakuna nachojuakipi unachojua, ana danga au hadangi?
TUNAJIFUNZA WANAUME...TUWE TUNAANGALIA WAPI TUNAPOWEKA MBEGU ZETU...P Funk Majani, ni mwamba sana. Yupo kimyaaa kama vile hamuoni msimbe wake
Wewe unayebisha ndio ubishe kwa uthibitisho.Waswahili bana, unaweza kuta ulikuwa unamtaka amekukataa sasa umeanza kumchafua kwa maneno ya uongo yasiyo na uthibitisho.
TUNAJIFUNZA WANAUME...TUWE TUNAANGALIA WAPI TUNAPOWEKA MBEGU ZETU...
SIO KILA MWANAMKE ANA HAKI YA KUWA MAMA WA WANAO...HAJANYAMAZA KWA KUPOTEZEA...ILA INAMUUMA SANA...
NA HAPO HUWEZI ONA SERIKALI WALA USTAWI WA JAMII WALA MAMLAKA YOYOTE YA HAKI ZA WANAWAKE...
ILA BABA YAKE ANGEWEKA UTARATIBU WA KUMLEA MWANAE VEMA KWA KUMCHUKUA KUTOKA KWA MAMA YAKE, AKAMLEA VEMA KWA MAADILI MPAKA AKAMUOZESHA...MNGEONA HAO WANAHARAKATI WANAVYOPAYUKA...ILA SASA WAKO KIMYA KWELI. KWAMBA MAMA ANANYIMWA HAKI YA KUMLEA MWANAE...ILA SASA HIVI KIMYA.
Mkuu unataka Smart911 aje acomment nn? unasbabisha mpka ameupita uzi huuMambo yao waachie wenyewe