Kajala Masanja....nifanye nini

father-xmas

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2010
Posts
971
Reaction score
1,117
Kajala Masanja ungekua bado hujaolewa.....,basi tu.Huyu dada ni mrembo sana hasa akiwa natural bila yale marangi rangi yao.Pembeni ni beautiful onyinye Jack Wolper.
 
hebu kamuulize bwana nsembo

nasikia kala ndogo
 
Nyie watu siwawezi kwa mabreaking news....my sympathy goes out to the beautiful blogger...anastahili huruma zetu kama yasemwayo ni kweli....

Hahahahaa hawa watu ni hatareee kwakweli!
 
Nyie watu siwawezi kwa mabreaking news....my sympathy goes out to the beautiful blogger...anastahili huruma zetu kama yasemwayo ni kweli....
Hakuna cha sympathy...wat goes around comes around..
 
Muwacheni dada wa watu na heshima zake. Wivu tu mjini hapa kisa kapata mume tena wa ndoa mwenye mahela yake....(hata kama ya sembe as far as tukienda kununua hakuna alama ya kutofautisha za sembe na zisizo na sembe). Mwaka huu shamimu amewakimbiza na atawakimbiza mbaya haters. Ombeni Mungu na nyie muangukie mihela na sio kuwa na chuki binafsi. Mama endelea na kampeni ya mambo ya kilimo dear MWISHO HATERS WATAKUWA BELIEVERS!!!!!!

Ukweli kabisa dada amewazidi wadada wengi wa mjini kwa utulivu wake, hekima na hana mda wa kipumbavu wa kujibizana kipumbavu....zaidi ya yote Mungu akammwagia mahela hayooooooooooo (hata mkiyatolea sababu kwamba ni ya sembe mbona zenu chafu za umalaya hamzitaji??) na kuwafanya asiwakauke midomoni mwenu. Kweli riziki mwanzo wa chuki. Mama mzungu et al mtahangaika sana dada wa watu yake yanamnyookea.........
 
Hehehe no offence meant lakini umenikumbusha heaven on desert lol.
Umbeya kazi, kwa hiyo kajala anachukuliwa na mume wa shamimu? Shamimu kaolewa na mdhungu? Manake nilimuona tu kwenye video anatukanana na sijui mange ama sinta.
Natanguliza samahani
 
Last edited by a moderator:

good!!!
Shamim muzuri sana innocent,wife material in deed.
 
Hehehe no offence meant lakini umenikumbusha heaven on desert lol.
Umbeya kazi, kwa hiyo kajala anachukuliwa na mume wa shamimu? Shamimu kaolewa na mdhungu? Manake nilimuona tu kwenye video anatukanana na sijui mange ama sinta.
Natanguliza samahani

Shoga alotukanana na sintah ni shilole (umbea wataka umakini best). Kajala wanavyodai (wambeya wa mji) kwa sasa anawekwa mjini na mume wa shamimu. Eti mapenzi moto moto......ila nahisi wanataka tu kumuumiza dada wa watu moyo kisa ameokota mijihela si unajua mjini watu hatutakiani heri? watu wa dunia wanafurahi kukuona unahangaika miaka nenda rudi.....
 
Mimacho imenitoka hata sijui nini kinaendelea tena....Uzi unamuhusu Kajala masanja hayo mengine yanatokea wapi tena.......Kina mama mna mambo nyie..............
 


Sorry kama sio wewe basi nimechanganya
nakumbuka uliwahi anzisha thread hapa JF ukitaka wauza madawa wote watajwe
na tusiwaogope wala kuwaonea haya....au sio wewe?
 
Mimacho imenitoka hata sijui nini kinaendelea tena....Uzi unamuhusu Kajala masanja hayo mengine yanatokea wapi tena.......Kina mama mna mambo nyie..............
uwii mbavu zangu mie. wacha watuhabarishe na tusiyo yajua.
 
Ngoja mange awasikie nyie wadada wa jf mbona mtaomba poo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…