Kajala Masanja....nifanye nini

Kama penzi ni kitovu cha uzembe, jf ni kitovu cha umbea na habari motomoto. khah!

mwenzangu obagi tusndwe kupaka
less wigg nazo zitushinde
hahahahahha ahta umbea tu wa nani kalamba nani!ahahahhahahha mie huu walahi hunachi!
 
mwenzangu obagi tusndwe kupaka
less wigg nazo zitushinde
hahahahahha ahta umbea tu wa nani kalamba nani!ahahahhahahha mie huu walahi hunachi!

Pole yake mtoa mada maana ameshindwa hata kuchangia uzi wake
 
wewe utakuwa mrs sembe mwingine maana mpo wengii.................povu limekutoka!
wivu wivu hee nan hana maisha yake hapa!
ukweli ndio huo what goes around comes back....! mjipange.
ubaya wa shamimu ni nini dear?
 
hebu kamuulize bwana nsembo

nasikia kala ndogo

Ata kama tunakuwa na chuki wakuu tujitahid sana kuwaonyesha heshima mwenzetu plz...Kutaja mambo ya ndogo sio poa ata kama atakuwa aliitoa kwa maamuzi yake au kushurutishwaaa.
 
Hunijui wala huwezi kunijua. Ukweli ulishasemwa....Shamimu ana shida gani na mtu?au ni chuki zenu tu? mumewe ni muuzaji basi wekeni ushahidi. Nawe wahi ukaki...to....mbeshe kwa baba/mama yako
Haahah!!! Shamimu sasa hivi anaozea segerea....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…