Kajala nae aamua kukaa uchi akiwa fiestani - Tanga

The Fixer

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2008
Posts
1,365
Reaction score
594
Hivi kama unajua unatoka na umevaa kinguo cha ajabu kwanini usibebe hata khanga ili ikusitiri ?
Ina maana kuwa celebrity ndio kila baya la kuushangaza umma ndio ulifanye wewee ?
 

Attachments

  • 1409496806043.jpg
    77.8 KB · Views: 2,789
Hakuna cha ajabu hapo. Nna uhakika ushaona vingi ukakaa kimya na kuenjoy the view. Kuwa celebrity sio sabab ya kutoishi kama wengine
 
Hahahaaaaa uwiii umenichekesha mkuu

Acha kushabikia ujinga kakuchekesha kwa lipi kwani uchi mpaka uone papuchi mwili wa mwanamke unatakiwa usitiriwe ukitoa kucha na vidole vya mkono mwili wote wa mwanamke ni UCHI
 
Acha kushabikia ujinga kakuchekesha kwa lipi kwani uchi mpaka uone papuchi mwili wa mwanamke unatakiwa usitiriwe ukitoa kucha na vidole vya mkono mwili wote wa mwanamke ni UCHI

Nyooooo nn wewe kamwambiee demuu wakooo ndio hausitiriii unatuambia sisi ili tufanyajeee ma.. v..weeeee
 
Nyooooo nn wewe kamwambiee demuu wakooo ndio hausitiriii unatuambia sisi ili tufanyajeee ma.. v..weeeee

Nilijua tu lazima utajaa upepo coz huo ndo ukweli na wengi hampend kuambiwa ukweli jipili njema
 
Acha kushabikia ujinga kakuchekesha kwa lipi kwani uchi mpaka uone papuchi mwili wa mwanamke unatakiwa usitiriwe ukitoa kucha na vidole vya mkono mwili wote wa mwanamke ni UCHI

mkuu hiyo ya kwamba sehemu yote ya mwili wa mwanamke ni uchi isipokuwa kucha na vidole inategemea imani ya mtu.
 
Nilijua tu lazima utajaa upepo coz huo ndo ukweli na wengi hampend kuambiwa ukweli jipili njema

Saa unaniambia mm ili insaidie nini nmekwambia nataka ushauriii wakoooo ka umechukia njooo nikuharishie puan
 
mkuu hiyo ya kwamba sehemu yote ya mwili wa mwanamke ni uchi isipokuwa kucha na vidole inategemea imani ya mtu.

Mimi ni mkirstu ila kwnye ukweli lazima tuseme ukweli lazima wanawake wajistiri mkuu
 
Mastaa wa kibongo kwa kutafta kiki sasa na hapo mateneger wataiga huo uvaaji
 
Kwa ufupi mwanamke kila sehemu ya mwili wake ni uchi

Kama kweli unaamini hivyo basi haufanyi sawa kufuatilia uzi kama hizi zinazotaja uchi wa kajala sababu huyo mallaya anajulikana au ulitegemea kumkuta kajala na hijabu mpaka kwenye kucha humu?..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…