Quick racka ndo anasuka nywele, mo racka ndo kama shombe shombe yule
Kwa kuongezea Mo racka aliwahi kutoka na loveness (Diva) kitambo hikooo
mchapa kazi wapi........labda anamaanisha p***sy
Moracka si type ya diva
Mxieeee!! Exclusive my foot, exclusive mwenyewe Nan? Akipeleke huko mxieee
Wasaniii wana vina virefu sana......
Kajala si anapigwa na huyu MAKONDA sasa huyo racka kafuata nn hapo
diva saa hz yupo na nan kwan
Hahaha binamu kila mtu ana definition yake ya exclusive bana, kwa hiyo Inawezekana wote anaowadate ni exclusives according to her definition
Hahha bana binamu muache diva mzungu wa watuKanajifanya matawi wakati hata lulu anamshinda kimaisha mxieee, hana lolote, kusoma international schools na kiingereza chake basi anajiona beyonce kumbe shilole tu mxieee
Hahha bana binamu muache diva mzungu wa watu
Khaa binamu magimbi ya wapi tehMbwa tu huyo, angekuwa mzuri asingehangaika usiku kucha kutangaza ndo apate mkate, wenzao uzuri wao wanautumia vzur hawafanyi kazi na bado wanaishi maisha mazuri kumshinda, ye sura imemkomaa kama magimbi ya kimbiji mchiuuu ataishia kutangaza mpaka anazeeeka mbwa huyo