Kabisa ...asilimia kubwa huwa wanabaki kupasha viporo tu hawabanianwazazi hawaachani
wazazi hawaachani
Fuata ushauri wa mzeeNdio maana Mzee wangu alinishauri Kama hujafikisha miaka 40 basi usioe Mwanamke mwenye mtoto kinyume na hapo huyo mama mwenye mtoto mzazi mwenzie awe alishafariki.
Sehemu gani hiyo na Mimi nikasomeP.funk bado anampenda sana huyu dada ila sijui Kajala alitendewa nini na huyu jamaa.
Nakumbuka mpaka Mtu mzima alimtungia wimbo akimuomba msamaha Kajala.
Kuna sehemu nilisoma jamaa. anasimulia alianza kuwa na Kajala huku Kajala akiwa na miaka 16.
Kuna uzi wa kitambo upo humu humu JF ukiongelea mtoto wa kwanza wa P.funk sio huyu Paula.Sehemu gani hiyo na Mimi nikasome
Inasemekana p funk alikuwa anamdunda sana kajala...hasa akishapuliza bangi zakeP.funk bado anampenda sana huyu dada ila sijui Kajala alitendewa nini na huyu jamaa.
Nakumbuka mpaka Mtu mzima alimtungia wimbo akimuomba msamaha Kajala.
Kuna sehemu nilisoma jamaa. anasimulia alianza kuwa na Kajala huku Kajala akiwa na miaka 16.
Ana mtoto mkubwa. Alizaa na binti mmoja hivi anaitwa Jackie. Huyo mtoto amekolea sana rangi na kufanana na baba yake. Huyu wa Kajala huwa najiuliza maswali mengi sana lakini sipati majibu sahihi.Kuna uzi wa kitambo upo humu humu JF ukiongelea mtoto wa kwanza wa P.funk sio huyu Paula.
umalaya Jamaa alikuwaga Malaya ile mbaya "" alikuwa anawala mademu humo humo ndani ambapo anaishi na kajala....kajala aliwahi kumfumania akiwa na ray c ...jamaaa alipita kwa rayc ..na mademu wngine mastaa staa kibao ..halafu ile kibabe babe sasa "" cwajua tena alikuwa anajifnya gangster ...na wakati huo alikuwa top of town Pesa inaongea ...kikubwa alichokisahau tu nikuwa Pesa hazinaga mwnyeweP.funk bado anampenda sana huyu dada ila sijui Kajala alitendewa nini na huyu jamaa.
Nakumbuka mpaka Mtu mzima alimtungia wimbo akimuomba msamaha Kajala.
Kuna sehemu nilisoma jamaa. anasimulia alianza kuwa na Kajala huku Kajala akiwa na miaka 16.