Kajifungua kabla ya muda mtoto mwenye afya nzuri

Kajifungua kabla ya muda mtoto mwenye afya nzuri

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,917
Reaction score
11,801
Huyu mwanamke alibeba mimba mwezi wa 4 mwaka huu maana mara ya mwisho kuona siku zake ilikuwa tarehe 23 march na tarehe 6 amejifungua salama kabisa mtoto mwenye afya nzuri na ana uzito wa kilo 4.1 je, imewezekana vipi wakati makadirio yake yalikuwa tarehe 30/12 ina maana kashuka wiki tatu na nusu?
 
hilo si jambo la ajabu... Watoto wote hawakui katika rate moja... So inawezekana kabisa huyo mama kama alipata lishe nzuri basi kiumbe ndani yake kikakua haraka...
Kama unaona hutaki kumuamini huyo mama, basi DNA tests zipo..usisumbue ubongo
 
Back
Top Bottom