Kajuni ni CEO wa hovyo Simba

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Hana aibu eti tunajivunia kuwa na Simba WhatsApp channel na tubaongoza Africa mashariki na Kati, pia wenzetu walikuwa wanaongoza Youtube ila sasa tumewapita.

Ukimcompare na Senzo na Babra huyu ni CEO wa hovyo waliompata Simba.

Kwa kipindi chake hamna la maana zaidi ya kiki kama za kipanda mlima Kilimanjaro na vibegi hawazi timu kufanya vizuri kwenye ligi na kimataifa




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rage alivyowaita mbumbumbu na hawa wanawapitia humohumo, halafu siyo WhatsApp ni Watsup.

Mafanikio ya Simba ni haya Kwa mujibu wa CEO.😀😀
 

Attachments

  • alikamwe-20240121-0001.jpg
    91 KB · Views: 6
Kajuna,mtu yeyote mwenye meno ya vile halafu anqjichekesha chekesha huwa ni hovyo
 
Kama Wana Simba werevu wachache waliobakia hawakufanya jitihada za maksudi kumfuta mheshimiwa Ismail Aden Rage kuja kutoka hadharani na kufuta kauliyake, Basi kwa hakika atajengewa mnara, Viongozi wote mnao wapata watakuja na kujisifu kwa mafanikio ya dizaini hii.
Chakushangaza ukumbi wa mkutano uli ripuka kushangilia mafanikio tajwa.
Nikajisemea moyoni: Rage umesha iua timu yawatu[emoji2][emoji2]
 
Hakuna ukimbi uliolipuka kwa shangwe, ilikuwa patashika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo ulitaka aseme uongo? Pumbavu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…