Mwanamwaiche
JF-Expert Member
- Apr 13, 2022
- 665
- 968
Sina mengi ujumbe uko wazi Singida Big Stars ni mfano wa hizo apartments za madolari, acha kulia Kwa uhuni wenu jikite na hoja, akili za kitozo tozo ni uzuzu, toa hata arguments za kiakili et ooh tozo ni maoni ya wananchi, ujinga wa kizuzu double taxation ni ya wananchi wa kawaida?
Mbona hoja yako inahusu laki3 ya mshahara Kwa hio wafanyakazi ndio wamekushauri wawe double taxed?
Akili za wizi na uzuzu heshimuni hio dhamana. Ni upumbavu mkipewa dhamana mnajiona mshakuwa malaika.
Huu uchizi unakuja na gari ya million 500 halafu unatokea mfano wa apartments, Anza na kubana matumizi, unakuwaje waziri wa fedha asiehimiza punguzo au kubana matumizi yasiyo ya lazima au yasiyo tija, au yalioyo juu yako kibajeti.
Tumieni akili kuna vibwengo wengi kwenye mataasisi na idara mmewapa magari ma VX, V8.
Care with collective pains and thinking. We expected leaders to starve at the expense of state ecomic health and prosperity.
Think of expenditure first before revenue collection
Mbona hoja yako inahusu laki3 ya mshahara Kwa hio wafanyakazi ndio wamekushauri wawe double taxed?
Akili za wizi na uzuzu heshimuni hio dhamana. Ni upumbavu mkipewa dhamana mnajiona mshakuwa malaika.
Huu uchizi unakuja na gari ya million 500 halafu unatokea mfano wa apartments, Anza na kubana matumizi, unakuwaje waziri wa fedha asiehimiza punguzo au kubana matumizi yasiyo ya lazima au yasiyo tija, au yalioyo juu yako kibajeti.
Tumieni akili kuna vibwengo wengi kwenye mataasisi na idara mmewapa magari ma VX, V8.
Care with collective pains and thinking. We expected leaders to starve at the expense of state ecomic health and prosperity.
Think of expenditure first before revenue collection