KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 199
Alaaniwe yule alalae na "umbu lake yaani binti wa mama yake" Maandiko haya yapo ndani ya Biblia sipakumbuki. Hivyo ni makatazo tosha wala hatuhitaji kupindisha Katiba Hii ya Mwenyezi Mungu.
hv ni halali kwa ndugu kama hao kuoana?
Kwenye safina Nuhu na ndugu wachache walisalimika. Walizaliana vipi bila kuwa na mahusiano ya mapenzi ya ndugu na Ndugu?
hv ni halali kwa ndugu kama hao kuoana?
alaaniwe yule alalae na "umbu lake yaani binti wa mama yake" maandiko haya yapo ndani ya biblia sipakumbuki. Hivyo ni makatazo tosha wala hatuhitaji kupindisha katiba hii ya mwenyezi mungu.
Kikristo ni wapi walipokatazwa?
Ngoja nitafute maandiko kwenye baibo ndo naweza kulaani kubariki.
Tunaongozwa na biblia sio hisia za watu flani au jamii.
Ngoja nitafute maandiko kwenye baibo ndo naweza kulaani kubariki.
Tunaongozwa na biblia sio hisia za watu flani au jamii.
. Duh! Hii kazi naoto sana aiseeKatika hali isiyo ya kawaida,kaka na dada ambao mama zao ni mkubwa na mdogo wamepeana mimba,stori yenyewe ilikuwa hivi,huyu msichana aliyepewa mimba alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na kaka yake yaani mtoto wa mama yake mkubwa ambaye ni tumbo moja na mama yake mzazi,kipindi wapo hkatika mahusiano ndugu walikaa kikao cha kuwakanya na cha ajabu mama mzazi wa msichana mwenye mimba amekataa kabisa ya kuwa mwanaye hawezi kutembea na kaka yake kwani bado mdogo na tena ni mwanafunzi wa. kidato cha kwanza,ndugu wakahairisha kikao bila maamuzi,ikapita kama muda hv ndugu wakaona mabadiliko ya
yule msichana ndipo jana wakenda kumpima na kukutwa ya kuwa ana mimba ya miezi saba na akamtaja ya kuwa mwenye mimba ni kaka yake ambaye ni mtoto wa mama yake mkubwa,Naombeni ushauri wa kumpatia huyu dada kwani hajawahi kwenda kliniki hata siku moja na pia mwaka huu ndo anaingia kidato cha pili...Hii ni kweli kwani mimi ni mmoja wapo wa ndugu
Waingereza Wamarekani sawa. Kwetu Mbeya ni dada/kaka. Kwenu wapi mnaitana binam na mnaoana?hao si kaka na dada, ni binamu
Mmh!Eti eh
Soma Leviticus (Mambo ya Walawi SURA YA 20 kuanzia msitari wa 10 mpaka 27.
Kikristo ni wapi walipokatazwa?