Kaka picks his dream XI

kwa kwa kwa kwa kwaaaaaaah...
forza Kaka

....Katika hiko kikosi chake amenitajia mtu ambae nilikuwa nimemsahau ila nimemkumbuka.
....Nilikuwa namkubali sana enzi zake, sijui imekuwa akapotea.
.....Kila mtu akiwa golini miaka ya 2000 mpaka 2007 kama sikosei alikuwa anajifananisha naye.
......Ni DIDA, The One. Huyu jamaa nilikuwa namkubali sana, kwanza akikaa golini lazima akilini mwako utatambua kuwa huyu jamaa ni fundi kwa kukamata mipira.
 


alikuwa anachezea timu gani?
 
Kawataja masela wake..sema hicho kikosi kinaweza fungwa hata na leicester..Wachezaji wote hao hawependi ku defend zaidi ya maldini tu..Nesta mwenyewe ni ball playing defender anapenda show off.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…