Kaka picks his dream XI

Kawataja masela wake..sema hicho kikosi kinaweza fungwa hata na leicester..Wachezaji wote hao hawependi ku defend zaidi ya maldini tu..Nesta mwenyewe ni ball playing defender anapenda show off.!

Safi... Inapendeza kuona watu wanajua mpira vema,, yani hata huyo DM wake kukaba ni mzito
 
Pirlo sio defensive kiungo aisee bora hata angemweka roy keane hapo afu kwa iniesta ndo acheze pirlo golini buffon anafaa zaidi kuliko dida sub ningewaweka messi scholes beckham kahn rivaldo desaily
 
Pirlo sio defensive kiungo aisee bora hata angemweka roy keane hapo afu kwa iniesta ndo acheze pirlo golini buffon anafaa zaidi kuliko dida sub ningewaweka messi scholes beckham kahn rivaldo desaily

unamweka Messi, winga ya kulia unampanga nani sasa?
 
Kaka ana kichaa itakuwa siku hizi

Dida acheze badala ya miamba kama Oliver Khan au Peter Schmeichel?

Mwenye mpira Massiah Messi anakaa nje?
 
Kaka ana kichaa itakuwa siku hizi

Dida acheze badala ya miamba kama Oliver Khan au Peter Schmeichel?

Mwenye mpira Massiah Messi anakaa nje?

Massiah Messi.. Anaufanya mpira chochote anachotaka.. Kiumbe wa ajabu huyu.
 
Massiah Messi.. Anaufanya mpira chochote anachotaka.. Kiumbe wa ajabu huyu.

Huwa namuambia kila siku binti ysngu kuwa nina bahati kuona uhodari wa Messi

Huyu mtu fundi mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…