Kaka tuchati - Ngoma mpya Ya Rostam, Roma & Stamina

Taratibu taratibu mwisho Roma atafunguka yaliyomtokea Unonio
 
Hao vijana ni Watanzania walioimba hivyo? Kwanini wanakuwa Wasaliti wa Nchi ?

Kwanini wanatumikia Mabeberu ?

Serkali msiruhusu huu uhuni
Najaribu kuwaza kwa sauti yake ile....
.........[emoji19][emoji19][emoji19]

Sent using myLG leon
 
Nimeiangalia kama mara nne hivi na sijachoka, hongera kwao!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…