Taratibu taratibu mwisho Roma atafunguka yaliyomtokea Unonio[emoji3516]
KITU NILICHOBAINI,
WENGI HAWAJAIELEWA ILE MISTARI MICHACHE YA MWISHO ILIYOGEUZWA MANENO ILE;
R.O.M.A: "Nasikia Koyu Keza Mbochi" = (Nasikia Yuko Zake Chimbo).
STAMINA: "Mano Likwelikwe" = (Noma Kwelikweli).
YAANI HAPO IMEPIGWA BONGE LA SARAKASI HAPO!!!
(CHATO_CITY IS IN DA HOUSE!!!)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha.ila wewe una misimamo flani hvi...
Duh. Mambo haya.Humu wameizungumzia Corona, huu ndo tunaita ubunifu.
Siyo Habari za bunyero bunyero inama nipachike rungu
Hahaha, ni mibaya?Hahaha.ila wewe una misimamo flani hvi...
The only thing to fear is fear itself
Kusema ukweli..naipenda!!
Hii ni hip-hopKorona keshaimba rayvanny.
Wanaubuifu gani? Kila tukio lazima walitumie kupata kiki hawa.
Ahsante sanaKusema ukweli..naipenda!!
The only thing to fear is fear itself
Kuhusu?Kingine?
Kuna Video ya One Night stand ya Konde na Ibra nadhani ndo inategemewa kubeba hii Ep, Asubili subili kwanza upepo wa hii ngoma upiteNaona ROSTAM wamevuruga "trend" ya Konde Gang na kijana wake.
Au unasemaje Spartacus the mnyama mkali!?
Poa tuendelee kuchat
Hao vijana ni Watanzania walioimba hivyo? Kwanini wanakuwa Wasaliti wa Nchi ?
Kwanini wanatumikia Mabeberu ?
Serkali msiruhusu huu uhuni