God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,033
Najiuliza Tu kwa sauti, hivi akifa! Maria atakuja kwenye msiba!am trying to imagine one being in her position and doing this..
kweli hata kama haumpendi unaouwezo kama yeye utashindwa kumsaidia nduguyo wa daamu?
ila atakuja kujirudishia mwenyewe ndipo atakaposoma namba
Kule hawana tigo pesa, kama unataka kutoa msaada nenda ocean road hospital, au kule kwenye kituo cha matumaini kuna wengi wanahitaji msaada.Kuna watu wana roho ngumu hata kama mna ugomvi kalipie hospitali matibabu yafanyike na wala usiende kumwangalia kama hutaki, Huyo kaka mtu Aweke Namba ya Tigo Pesa tumsaidie chochote,
Hahahaah wehu kabisa hawa jamaamkuu nimeshuhudia na macho yangu mbwa ana kitambulisho na passport yani sometimes nawakubali ISIS ila approach yao ya ukatili ndio mbaya
Duh! sawa sawa, ila huyu kaka kajilalamisha na kaongea kwa uchungu na kajitangaza ndo mana imekuwa rahisi, wacha niende ocean road siku ya kesho nifanye kama ulivyoagizaKule hawana tigo pesa, kama unataka kutoa msaada nenda ocean road hospital, au kule kwenye kituo cha matumaini kuna wengi wanahitaji msaada.
unaweza kuta alikuwa anamuuza kwa vidume enzi hizo. ila watu weusi tunachukulia msaada kama haki.Hamjuii mamboo ya nduguuu..kuna MTU namjuaa ameapaa.kuna kuongeaa hata kumzzika Dada akke..kkisa..Dada aliuza nyumbaa yya Familia a Na kuwadhulumu nduguzer walipomfuata hapoo tupoo njema Na kanunuaa jumbaa kwa Pesa ya kugawana akawajibuu kawafukueni marehemu kaburini ndoo wajje wawasaidiee..walimshukyru Mungu Na wanaendelea Na Maisha..ila no chochotee..sasa mamboo yamembadilikiaa nyumbaa si yaa.kupangisha Pesa zimeishaa anatumaa watoto waombee radhii..wamekataa huu mwaka Wa 7...ya ndugu msiyaingiliee..Obama health care IPO..au Clinton foundation..au anataka tu kumchafua Maria Carey Wangu????
five hundred and twenty millions dollars. Milioni mia tano na ishirini.$520? au milioni $520.
mkuu hii comment yako nice I pendant "watu weusi tunachukulia msaada kama haki".unaweza kuta alikuwa anamuuza kwa vidume enzi hizo. ila watu weusi tunachukulia msaada kama haki.