Mkuu hapana Mariah kazid imeniuma anavyospendi kwa mbwa wakeHamjuii mamboo ya nduguuu..kuna MTU namjuaa ameapaa.kuna kuongeaa hata kumzzika Dada akke..kkisa..Dada aliuza nyumbaa yya Familia a Na kuwadhulumu nduguzer walipomfuata hapoo tupoo njema Na kanunuaa jumbaa kwa Pesa ya kugawana akawajibuu kawafukueni marehemu kaburini ndoo wajje wawasaidiee..walimshukyru Mungu Na wanaendelea Na Maisha..ila no chochotee..sasa mamboo yamembadilikiaa nyumbaa si yaa.kupangisha Pesa zimeishaa anatumaa watoto waombee radhii..wamekataa huu mwaka Wa 7...ya ndugu msiyaingiliee..Obama health care IPO..au Clinton foundation..au anataka tu kumchafua Maria Carey Wangu????
Anasubiri dada yake afe aje amzike..Duh....sasa itakuwaje......?......
Mbona article imesahau kusema jinsi Mariah Carey alivyowasomesha Watoto wa dada yake wakati mama yao (Dada yake Mariah) anaangaika na madawa ya kulevya pamoja na mapolisi kutokana na kujiuza ... Pia imesahau kusema jinsi mtoto wa Dada wa Mariah alivyofanikiwa kusoma (kutoka na pesa za mama mdogo wake, Mariah Carey) hadi kuwa successful lawyer wa NBA ... Pia kuwa Mariah alikuwa akimpa Dada yake zaidi ya million per month kwasababu ya needs na Dada yake kuishia kutumia on drugs Also the real reason waligombana ni kutokana na Dada yake kutumia nyimbo yake Mariah kutangaza biashara yake ya prostitution mtandaoni nyimbo ya "Fantasy " ... We Tanzanians tusikimbilie kujudge watu bila kujua background zao ... Before you point your fingers to others, make sure your hand is clean!Ebwana wanaJF Mzuka!
Mwanadada mwanamziki maarufu duniani katika nyimbo taratibu za mapenzi Mariah Carey 45 ameitwa "a devil and evil witch" na kaka yake tumbo moja Morgan Caret 51 kwa kukataa kutoa msaada wa fedha kwa ajili ya matibabu ya dada yao mkubwa Allison 54 ambaye ni muathirika wa Ukimwi.
Mariah Carey ambaye ana utajiri wa dollar za kimarekani million 520$ hana muda na ndugu zake na ajali kabisa na imembidi kaka yake huyo kutoka Italy alipokuwa anaishi kurudi nyumbani marekani kumuudumia dada yao.
Hali ya Allison dada yao kuna wakati ilikuwa mbaya sana kiasi cha kukaribia kufa ila afya yake iliimarika baada ya matibabu ya Ukimwi ila tatizo sasa anahitaji upasuaji kwenye ubongo wake na utu wa mgongo ambapo inahitajika kiasi kikubwa cha fedha na hawana. Kila wakimtafuta Mariah Carey anawakwepa na kukataa kuonana nao.View attachment 329543 Dada yake Mariah Carey Allison
Cha kushangaza na kusikitisha Mariah Carey anatumia hela nyingi kuwahudumia mbwa zake kitendo ambacho kaka yake imemfanya amuite a devil, heartless and evil witch.
View attachment 329544
Mariah Carey na mchumba wake bilionea wa Australia na pete ya uchumba 5$ million dollars
Dada yake Mariah Carey alijiingiza katika biashara ya ukahaba miaka ya mwanzo wa 90 kuwalea na kuwahudumia wadogo zake kabla Mariah Carey ajatoka. Inasemekana 1994 waligombana na dada yake na ugomvi huo ulikuwa Mkali.
Sasa hivi Mariah Carey kachumbiwa na bilionea wa Australia na kuvishwa Pete iliyonakshiwa kwa almas yenye thamani ya dollar za kimarekani million 5$.
Undugu ni kufaana siyo kufanana!
Nimedokoa kutoka Dailymail online UK
Uzi wa zanani sana.all in all hata wewe hujui background yao zaidi ya hizo story ulizooata kwenye net,all in all amsaidie tu,akifa haina maana tena hata akijifanya imemgusaMbona article imesahau kusema jinsi Mariah Carey alivyowasomesha Watoto wa dada yake wakati mama yao (Dada yake Mariah) anaangaika na madawa ya kulevya pamoja na mapolisi kutokana na kujiuza ... Pia imesahau kusema jinsi mtoto wa Dada wa Mariah alivyofanikiwa kusoma (kutoka na pesa za mama mdogo wake, Mariah Carey) hadi kuwa successful lawyer wa NBA ... Pia kuwa Mariah alikuwa akimpa Dada yake zaidi ya million per month kwasababu ya needs na Dada yake kuishia kutumia on drugs Also the real reason waligombana ni kutokana na Dada yake kutumia nyimbo yake Mariah kutangaza biashara yake ya prostitution mtandaoni nyimbo ya "Fantasy " ... We Tanzanians tusikimbilie kujudge watu bila kujua background zao ... Before you point your fingers to others, make sure your hand is clean!
Kaka yake amesema mwenyewe kwamba hizo ni false stories ... He aimed at selling information inorder to get money ... Kaka mwenyewe anamexploit mdogo wake, the worse part of all it was a time when she was going downhill.Uzi wa zanani sana.all in all hata wewe hujui background yao zaidi ya hizo story ulizooata kwenye net,all in all amsaidie tu,akifa haina maana tena hata akijifanya imemgusa