Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani kama nitawakwaza.
Kwani huyo Max Melo ni nani (Just playing nisije nikala ban tafadhali):hungry::hungry:
Sasa nimeelewa hii post ilikuwa na maana gani. Inafurahisha!![]()
HEHEHE!mkuu nitakuletea wala-rushwa wa UHAMIAJI ofisini kwako hukoHuyu hapa. Samahani kama sijakujibu
![]()
Huyu hapa. Samahani kama sijakujibu
![]()
Msuli huo usione hivyo. Ni kama reli ya train za TGV. Utaona kembambaaa ila kila siku mizigo na watu inapita tena kwa speed kali na kireli kipo tu. Sasa usifanye kosa akuweke KUBWA KULIKO, mhhhhhhh, utaomba kabali za mbao.
Mbona nimesikia pia yeye ni NINJA anapatikana wk end kwenye temple za Upanga.....