Kaka yake Lissu amesema amevutiwa na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Rose Mayemba na kwamba atamuingiza ndani ya familia ili kuunda udugu.
Ameyasema ktk mkutano wa hadhara Igungi jana. Mayemba mwanachama pekee wa CHADEMA aliongiza ktk kamati kuu na mwenyekiti akiwa hana cheo ndani ya chama.
Haijulikani kama atamposea mwenyekiti au mwengine hasa ukaribu na mwenyekiti na Mayemba
Picha. Mayemba akiwa ubavuni mwa mwenyekiti
Video ya kaka yake lissu imegoma kuapload
Ameyasema ktk mkutano wa hadhara Igungi jana. Mayemba mwanachama pekee wa CHADEMA aliongiza ktk kamati kuu na mwenyekiti akiwa hana cheo ndani ya chama.
Haijulikani kama atamposea mwenyekiti au mwengine hasa ukaribu na mwenyekiti na Mayemba
Picha. Mayemba akiwa ubavuni mwa mwenyekiti
Video ya kaka yake lissu imegoma kuapload