Kaka zangu jitahidini kuulinda uanaume wenu


hapo mnajuaje makubaliano yao? inaweza kutokea kabisa, hata mie huwa nafanya mara moja moja nikiona hela haina mawazo namtoa mr outing, na kulipa mazaga zaga yote, mie bado cjawaelewa labda.
 
si unajua dada zetu hawa walivyo wakiitwa na wao wanabeba na mashoga zao juu.

Mi demu akija na wapambe huwa nafanya juu chini niwazunguke wote kufidia gharama na mara nyingi nimesha wamega wengi tu
 
hatukatai gf au mkeo kulipa bili lakini apende yeye sio mwanaume mzima unaanza kukomalia gf alipe bili wakati wewe ndio umemuita aamue yeye mwenyewe kukusaidia


sasa hapo huyo alikuwa mifuko imetoboka kwa cku hiyo na anataka mtoko ikabidi atumie njia mbadala....haaa kuna mambo eeeh, mana mie mwanaume wa hivyo nitamshangaa labda awe ameniambia mapema.
 

Maty, kama alikuita akupe ofa halafu akasema mnagawana nusu hapo alikosea.

Lakini kuombwa vocha, sijui pesa au kulipa bill ya bar au kulipa chochote hakuna ubaya kama mko kwenye mahusiano ambayo mnayajua wenyewe . Usiwe kama wale wanawake ambao wanafikiri kila kitu lazima mwanaume afanye. nope i beg to differ with you on that note. wakati mwingine chukua responsibility ya kulipia vitu umpumzishe mwenzio. maana hata yeye naye anastruggle kupata hicho alichonacho aweze kukulipia. tena wakati mwingine wanaume hufurahia pia kulipiwa na wapenzi wao hata kama uwezo anao wa kulipa.
 
Mi demu akija na wapambe huwa nafanya juu chini niwazunguke wote kufidia gharama na mara nyingi nimesha wamega wengi tu


wewe cjui unawapatiaga wapi wanawake wako jamani, wote vituko.
 

mara moja moja sio mbaya, icje kugeuka mazoea.
 
wewe cjui unawapatiaga wapi wanawake wako jamani, wote vituko.

Hahahaha mm nina sampuli zangu mpaka Teamo na Asprin wamenizidi kete hapo Chalinze unafikiri mchezo.... mitoto mitoto kweli
 
hatukatai gf au mkeo kulipa bili lakini apende yeye sio mwanaume mzima unaanza kukomalia gf alipe bili wakati wewe ndio umemuita aamue yeye mwenyewe kukusaidia

Hahahaha pole kumbe yamesha kukuta :becky::becky: Asprin anakufaa sana
 
Hahahaha mm nina sampuli zangu mpaka Teamo na Asprin wamenizidi kete hapo Chalinze unafikiri mchezo.... mitoto mitoto kweli[/QUOTE]

ndio hao wanabebana rundo kweny mtoko?
 
Kwa maisha ya ki-magharibi nikikutoa out haina maana nitalipa expense zote. kila mtu ana-clear alichokula. Na hii ni kwa sababu kila mtu anafanya kazi kwa hy anakipato.
kwa Africa hii bado haijabamba.
 
hatukatai gf au mkeo kulipa bili lakini apende yeye sio mwanaume mzima unaanza kukomalia gf alipe bili wakati wewe ndio umemuita aamue yeye mwenyewe kukusaidia

Kuna jambo ulikutana nalo
 
Hakuna hoja hapa inaonyesha alizoea kupiga mizinga sasa kaombwa yeye imekuwa ishu namna hii.

Niliyokutana nayo ilikuwa kali sijawahi kumpiga mzinga hata siku moja lakini nashangaa yeye kila siku mizinga mpaka nikawa najiuliza huyu mbona hashangai mimi demu simpigi mzinga wowote lakini yeye tu inakeraaaaaaaa
 
Mpwa Asprin ni mtu mzuri sana kwenye ku do ze nidful

Hahahaha pole kumbe yamesha kukuta :becky::becky: Asprin anakufaa sana

Mpendwa dada/mama maty......hebu soma na utekeleze huu ushauri wa watoto wa wanawake wenzio.....Hutajuta asilani. Nakusubiri PM kwa ajili ya logistics za ku do the needful......
 
Niliyokutana nayo ilikuwa kali sijawahi kumpiga mzinga hata siku moja lakini nashangaa yeye kila siku mizinga mpaka nikawa najiuliza huyu mbona hashangai mimi demu simpigi mzinga wowote lakini yeye tu inakeraaaaaaaa

Duh bora umeweka wazi mwenyewe.
Kwa hiyo vp hiyo njemba unaipenda au mnamaliza ukakasi tu kila mtu kimpango wake.
Watu tunataka kutangaza nia bana weka wazi.
 
Niliyokutana nayo ilikuwa kali sijawahi kumpiga mzinga hata siku moja lakini nashangaa yeye kila siku mizinga mpaka nikawa najiuliza huyu mbona hashangai mimi demu simpigi mzinga wowote lakini yeye tu inakeraaaaaaaa

Maty uliangukia pabaya hapo halafu watu wa sampuli hiyo mbona ni rahisi sana kuwabaini next time ni PM for more information
 
Duh bora umeweka wazi mwenyewe.
Kwa hiyo vp hiyo njemba unaipenda au mnamaliza ukakasi tu kila mtu kimpango wake.
Watu tunataka kutangaza nia bana weka wazi.

haaa hii hasara cjui maty ataibeba kwa mbeleko gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…