Kaka zangu jitahidini kuulinda uanaume wenu

hivi kuna wadada wanayafanya hayo?...ni wazimu ama, yaani unatoa hela mwanaume akakulale?....yaani hata yeye hela ya kulipia tena ni shughuli, hapana huo ni msalaba tosha.

OHH YESSSS...MBONA WADADA TYPE HIYO MPO KIBAO...NA MIE NI MMOJA WA WANAOFAIDI ULIPIWAJI WA HUDUMA ZA SEHEMU YA KUFANYIA ZINAA....ahahahaha...INAPENDEZA SANAAAA..PESA YAKE, KALIPIA GHARAMA ZA KUKUNWA NAFSI YAKE ...NA KWA RAHA ZAKE...AHAHAHAHA..."WANAWAKE MKIWEZESHWA MNAWEZAAAAAA"
 
mambo ya condom kwa usalama wa mdada anatakiwa awe nayo, lakini hayo mapezni yenu mengine ya kulipiwa mpaka lodge hapana kabisa, mwanaume gani huyo...

mwanaume "shughuli..kuzungusha kiuno...wajibu, kumtia raha mtoto wa kike ndo ajira yenyewe" na usiombe ukutane naye maishani mwako...utauza hata nyumba ya urithi ilihali wazazi wako hawajakukabidhi hiyo mirathi
 


Naona tatizo wanawake wengi wa huko kwetu mzoea "kulelewa" na "kubebwa" huku mkifikiri kuwa nyie wajibu wenu ni mmoja tu, kutoa burudani kwa wanaume (ngono), huo umekuwa utamaduni. Lakini vijana siku hizi wanabadilika na wana copy baadhi ya tamaduni za watu wengine, kwa uzoefu wangu wa Norway hata uki propose kwa demu mkapate dinner (girlfriend wako) yeye atalipia chake na wewe chako, la sivyo atakuambia in advance kuwa hajajiandaa kutoka na wewe kwakuwa hana hiyo bugdet kwa hiyo hapo unaweza kumweleza kama utamlipia au la!

Ushauri wa bure kwa akina dada: Mkipewa offer muwaulize hao watoaji nani atalipia? manake kuna siku mtaabishwa, jamaa analipia chake wewe unabaki unang'aza macho, unaweza ukajikuta unaacha under skirt ili uje uigomboe baadae! Alamsikh!
 

Anyway, Nashukuru nimeshapita umri wa kufanya hayo. Ila sasa wadada wamepitiliza. kwamba wakaka hawatoshi, au?
 
Du tunaishi ulimwengu tofauti sana, Kama unampenda Hata hauisi kwamba unalipa bill, but outing with some silent expectations (economically) Ni soo, Jaribu kutoka na Yule wa Moyoni uone..........Mwagombea Kulipa......................Mimi napenda kulipa offers.........
Nakaribisha watakao kulipiwa. 'Terms and Conditions apply'
😛layball:
 
Baadae mnaanza kusema wenyewe "Yule mwanaume mbahili hata vocha ya 500 hajawahi kunitumia kwenye simu" utafikiri ameambiwa kuwa una share kwenye kampuni ya simu

wewe umeanza kusemwa leo? unasemwa na wanaendelea kusema kwa namna moja au nyingine, fanya kitu kwa roho moja sio unafanya rohoni unanu'ngunika...hujickii kumtumia mwambie wazi ckutumii.
 
Hujapata anayefanya kazi sawasawa ndio maana unaona unachoshwa tu mwili, ukikutana na anayeweza kuidunga G-spot kisawa-sawa, mbona utalipia Guest kila siku!
Yeah maaan....!!! unapiga ile namba 8 wakisugua kipele G huyo atalipia tu.....
 

Mimi pia nafurahia sana kulipa bills, hata tukitoka na rafiki tu, sijali kulipa bill. lakini hili la kulipia nikamfurahishe mtu!:sorry: I cant
 
halafu wewe mbona hujaningongea senksi kwenye hiyo yuziful posti?

The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:
Smiles (Today)

Hiyo hapo...umeona eeh?!
 
Wanaume
hii neno hili

Ni kweli hawa watu wapo na wanatia aibu sana, no wonder why na wao wanat... siku hizi
 

kula tano!
 

kula tano!
 

kula tano! (hakuna kitufe cha senks kwenye mobile version)
 

kula tano!
 
hapo mnajuaje makubaliano yao? inaweza kutokea kabisa, hata mie huwa nafanya mara moja moja nikiona hela haina mawazo namtoa mr outing, na kulipa mazaga zaga yote, mie bado cjawaelewa labda.

kula tano!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…