Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kilevi pendwa cha asili kinachotumiwa na watu wazima huko vijijini hapo zamani... Baadae kikaja kuwa umaarufu kwa wamasai na sasa ndio Kama fasheni kwa vijana wa kileo(maybe kutokana na vyuma kupata kutu)
Ugoro una mapishi yake... Sijawahi kuyaona na sijui wanatumia malighafi gani kuutengeneza....Ninachofahamu kuhusu ugoro ni kimoja.... Matumizi yake unaweka chini ya mdomo wa mbele kwa ndani halafu ni lazima uteme mmate mrefu mweusii tii.... Inachefua sana....
Nimeambiwa huko maofisini hata waheshimiwa ni wateja wakubwa wa hiki kilevi baada ya kuharamishwa kwa mmea na vijana wengi kukamatwa... Waheshimiwa wengi ni watumiaji wa mmea jani kavu lakini upatikanaji wake una mizungu mingi... Hivyo sasa kwakuwa ugoro haujaharamishwa wengi wameanza kuwa wafuasi...
Ugoro ni bidhaa ilikamilika kwa matumizi... Huwesi kuupika tena.....
Kakaangu anatoa tu ultimatum, b kujali cheo na nafasi ya mtu... Ultimatum za masaa 12, 24, 48, 72 na kuendelea...
Bobby haonekani... Kapotea ama pengine kapotezwa.... Imetolewa ultimatum imetolewa sharp kwa haraka! Duuu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115]..... TUNAKAANGA UGORO.... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ugoro una mapishi yake... Sijawahi kuyaona na sijui wanatumia malighafi gani kuutengeneza....Ninachofahamu kuhusu ugoro ni kimoja.... Matumizi yake unaweka chini ya mdomo wa mbele kwa ndani halafu ni lazima uteme mmate mrefu mweusii tii.... Inachefua sana....
Nimeambiwa huko maofisini hata waheshimiwa ni wateja wakubwa wa hiki kilevi baada ya kuharamishwa kwa mmea na vijana wengi kukamatwa... Waheshimiwa wengi ni watumiaji wa mmea jani kavu lakini upatikanaji wake una mizungu mingi... Hivyo sasa kwakuwa ugoro haujaharamishwa wengi wameanza kuwa wafuasi...
Ugoro ni bidhaa ilikamilika kwa matumizi... Huwesi kuupika tena.....
Kakaangu anatoa tu ultimatum, b kujali cheo na nafasi ya mtu... Ultimatum za masaa 12, 24, 48, 72 na kuendelea...
Bobby haonekani... Kapotea ama pengine kapotezwa.... Imetolewa ultimatum imetolewa sharp kwa haraka! Duuu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115]..... TUNAKAANGA UGORO.... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]