Kakaange Ugoro

Mm bibi yangu alikuwa anatengeneza huko morogoro kwa matumiz yake,naonaga anachukua tumbaku anaichanachana kisha anaikausha juwani then anatafuta chungu anaweka jikoni na ile tumbak.

Kile chungu hupata moto sana huku ndani kukiwa na tumbak,sasa kwakuwa ile tumbaku imechanwa chanwa hukauka sana na hatimae huisaga kwa kipande cha mti wake màalum.Nilimuuliza sana anapata radha gani pind atumiapo tumbaku lakin mpaka leo hakuna majibu sahihi
 
Ugoro sio starehe ni mateso ya hali yajuuuu. Mnaotaka kujaribu jaribu hakikisheni mpo karibu na Choo au Home tu kabisa
 
Ugoro a.k.a dawa, tope ni hatari sana.. 'Rizimu' yake ipo fasta, ukitia tuu mdomoni stimu zinapanda.. Jiloge umeze mate, tumbo na mwili vitakaa vibaya siku nzima..

Ni rahisi na salama kubeba, unatia ndani ya soksi au wallet.. Kutumia pia rahisi, unatizama kushoto kulia nyuma mbele unatia mdomoni, utajulikana kwa hayo mate utakavyokua unatema kama swila...
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ugoro ni tumbaku chafu, inaleta kansa ya kinywa, ugoro ni kifo
Kila kabila lina namna yake ya kutengeneza ugoro kulingana na malighafi ya sehemu husika ni kama ilivo pombe ya Gongo.
 
Ugoro sio starehe ni mateso ya hali yajuuuu. Mnaotaka kujaribu jaribu hakikisheni mpo karibu na Choo au Home tu kabisa
Ukisema ugoro ni mateso basi na pilipili na tangawizi nayo ni mateso, lkn kuna watu wakikosa hawapat usingizi, elewa kuwa kuna watu ukiwambia awe anakunywa maji marakwa mara anaona ni mateso ya hali juu sana bora angeambiwa kutafuna huo ugoro.
 
Nilimuuliza babu yangu anapata ladha gani hakuniambia ikabidi nitest...

Ilinichukua miaka 15 kuweza kuacha hata sasa naona ni kwa Neema za Mungu tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…