Kakobe, Mtikila wapambana ubalozi wa Marekani

Mtikila ni mfa maji, anatakiwa aombewe arud kundini, kwasababu ni muasi alieacha kanisa na kuitumikia dunia, amebaki na title ya uchungaji lakin amekwisha kabisa. huwezi mzuia m2mish wa MUNGU KAKOBE kwa sababu zisizo na mzingi
 
Hivi mtikila alirudisha fedha za rostam aziz ?
 
its high time kuingia magotini kwa watu wa mungu maana shetani yuko kazini, kwa hakika maana anajua muda wake umekwisha sasa. sana anaunguruam kama simba aliejeruhiwa na anazoa yeyote ambae hajasimama sawasawa. badae kidogo nitaweka hapa makala fulani inayosambazwa yenye jibu kwanini hawa viongozi wa dini wanatapanyika namna hii. Mungu atusaidie sana
 
inafikia kipindi mtu kama mtikila kila ukimsikia unapata kichefu chefu. hebu fikilia amshutumu rostam alipotoa hela kwa kkt kumbe hapo nyumba nae alipewa hela na huyo huyo aziz. tumemsikia jinsi alivyokuwa anapanga mikakati na rwakatare wiki iliyopita kampeleka huyo huyo rwakatale. kufupi ni mtu wa hila hila tu. sasa unapokuja kukuta eti anaitwa mch mtikila afu hapo hapo umtaje mch kakobe hivi ni vitu viwili tofauti. kakobe tunamjua na kazi ya injili anayofanya. huyo mtikila ni tapeli tu wa kawaida. sasa ninachoona ni hapa kuwa mtikila atabomoka tu. kakobe dont waste your time with this fool.
 

Mambo mengine hayatuhusu ambao hatuko pale kwa Kakobe, Mfano mdogo ni kuwa iweje wewe wa nje ujue mambo mengi ya Mzazi wa nyumba fulani kuliko wa nyumbani mwake.... Kakobe waliomkubali ni wa nyumbani mwake... MAMELILIA WEMBE WACHANI TU KAMA VIPI...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…