Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Promo kama hizi....😸😸🙌🙌Huu ni ujumbe ninaompelekea Kocha wa Taifa Stars , Emmanuel Amunike .
Hakuna haja ya kujiumauma , huyu golikipa si wa kawaida , haiwezekani mtu mmoja aizuie timu ya wachezaji 11 kwa dk 90 , tena si kuwazuia tu bali kuwazuia kibabe mno ! bila shaka uwezo wa Kakolanya umejidhihirisha wazi kwa kila mpenda soka.
Taifa stars inahitaji Kipa mkatili kama huyu , Yanga yote ilikufa , simba ilibaki kupambana na Kakolanya na ikamshindwa .
Kama kweli ilikuwa hirizi basi tutaonaPromo kama hizi....😸😸🙌🙌
Mtaona but ndo mtakua mnaanza kulisahau fainali za Africa taratibuKama kweli ilikuwa hirizi basi tutaona
Mkuu ule uwezo si wa game 1 tu , siamini .Ni mapema mno.....
Muda utasema...Mkuu ule uwezo si wa game 1 tu , siamini .
Mkuu ule uwezo si wa game 1 tu , siamini .
Kumbe huwa kuna muda akili zinatulia!!! Ushauri mzuri sanaHuu ni ujumbe ninaompelekea Kocha wa Taifa Stars , Emmanuel Amunike .
Hakuna haja ya kujiumauma , huyu golikipa si wa kawaida , haiwezekani mtu mmoja aizuie timu ya wachezaji 11 kwa dk 90 , tena si kuwazuia tu bali kuwazuia kibabe mno ! bila shaka uwezo wa Kakolanya umejidhihirisha wazi kwa kila mpenda soka.
Taifa stars inahitaji Kipa mkatili kama huyu , Yanga yote ilikufa , simba ilibaki kupambana na Kakolanya na ikamshindwa .
Hivi ubora wa Manula ni upi hasa ?Mkuu huyu Benno bado sana.. Tumpe mda wa kuendelea kujifunza toka kwa golikipa bora kabisa kuwahi kushuhudiwa nchini katika miaka ya hivi karibuni.. Tanzania 1, Aishi Manula.
ni muda gani huwa akili zinatangatanga ?Kumbe huwa kuna muda akili zinatulia!!! Ushauri mzuri sana
mkuu hilo jani ni ishara ya nini ?Beno vs mtibwa....Vs Singida.Aliyebahatika kuona uwezo wake kwenye game hizo.,Hawezi pingana nawe.
Boss kwa game 1 tu..!?Huu ni ujumbe ninaompelekea Kocha wa Taifa Stars , Emmanuel Amunike .
Hakuna haja ya kujiumauma , huyu golikipa si wa kawaida , haiwezekani mtu mmoja aizuie timu ya wachezaji 11 kwa dk 90 , tena si kuwazuia tu bali kuwazuia kibabe mno ! bila shaka uwezo wa Kakolanya umejidhihirisha wazi kwa kila mpenda soka.
Taifa stars inahitaji Kipa mkatili kama huyu , Yanga yote ilikufa , simba ilibaki kupambana na Kakolanya na ikamshindwa .
si game 1 tu mjomba jaribu kuangalia tena .Boss kwa game 1 tu..!?
Hapana ngoja atuthibitishie upcoming games na team yake kama anadeserve kusogezewa kete kubwa
Beno kadaka game na Waharabu, Yanga imeshinda. Kadaka mechi na Mtibwa Yanga pia imepata matokeo na Nazi yake hakika ilionekana dhahiri. Kadaka juzi na Mikia kila MTU ni shuhuda wa kilichotokea, hadi kocha wao wa ngumi kamkubali. Sasa hao wanaokupinga waache tu na mihemko yao. Beno deserves to be Tanzania one kwa sasa, hill Galina ubishi.si game 1 tu mjomba jaribu kuangalia tena .
Pamoja na kuukubali uwezo wa Kakolanya lakini mimi ni Simba mkuu , usituite mikia bhana .Beno kadaka game na Waharabu, Yanga imeshinda. Kadaka mechi na Mtibwa Yanga pia imepata matokeo na Nazi yake hakika ilionekana dhahiri. Kadaka juzi na Mikia kila MTU ni shuhuda wa kilichotokea, hadi kocha wao wa ngumi kamkubali. Sasa hao wanaokupinga waache tu na mihemko yao. Beno deserves to be Tanzania one kwa sasa, hill Galina ubishi.
Ile gemu na simba kakolanya hakua golini mkuu,Pamoja na kuukubali uwezo wa Kakolanya lakini mimi ni Simba mkuu , usituite mikia bhana .