Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Pengo huyu huyu Kardinali?Goli kama lile alilofungwa Kabwili huwezi kumfunga Kakolanya , huo ndio ukweli
Binafsi nimefurahishwa na ushindi wa Timu yangu ya Simba lakini ni wazi kabisa kwamba kutokuwepo kwa Kakolanya kumeturahisishia sana .
Msajili nýie sasaGoli kama lile alilofungwa Kabwili huwezi kumfunga Kakolanya , huo ndio ukweli
Binafsi nimefurahishwa na ushindi wa Timu yangu ya Simba lakini ni wazi kabisa kwamba kutokuwepo kwa Kakolanya kumeturahisishia sana .
Hii mijamaa inapenda sana kufundisha watu jinsi yakufanya kazi, kama wakiona kakolanya ni mzuri mnunueni nyie sisi uku kwetu asilete miguu yake.Msajili nýie sasa
Manula anafungwa mağoli ya mbali kuliko ilo alìlofugwa Kabwili
Tatzo mikia inataka kutupakia ata jinsi ya kushabikia timu yetu. Kwa mechi ya jana ckujuwa kama yanga wanaweza cheza vizuri kiasi kile nimefungwa ila najiisi furaha kwa sababu timu imecheza kwa kujituma kwelikweli ambaye akuona ili basi aombe miwani.Kabwili ni kipa mzuri sana. Sikutegemea kuona alichofanya jana, autimatically nilihisi angekua na hofu ila ameweza kujiamni na kufanya kazi yake vizuri. sijaona goli la kumlaum gori kipa pale.
Kabisa Mkuu,Nakubaliana na wewe 100%Kabwili ni kipa mzuri sana. Sikutegemea kuona alichofanya jana, autimatically nilihisi angekua na hofu ila ameweza kujiamni na kufanya kazi yake vizuri. sijaona goli la kumlaum gori kipa pale.
Alijiamini kwenye nini,kuna hatari gani alizokutana nazo halafu akaokoa? Mabeki walimlinda kwa dakika zote na walipozembea kidogo hapohapo na kipa akafungwa kizembeKabwili ni kipa mzuri sana. Sikutegemea kuona alichofanya jana, autimatically nilihisi angekua na hofu ila ameweza kujiamni na kufanya kazi yake vizuri. sijaona goli la kumlaum gori kipa pale.
ni ushauri tu jamani kama vipi endeleeni kupokea vichapoHii mijamaa inapenda sana kufundisha watu jinsi yakufanya kazi, kama wakiona kakolanya ni mzuri mnunueni nyie sisi uku kwetu asilete miguu yake.
Goli kama lile alilofungwa Kabwili huwezi kumfunga Kakolanya , huo ndio ukweli
Binafsi nimefurahishwa na ushindi wa Timu yangu ya Simba lakini ni wazi kabisa kwamba kutokuwepo kwa Kakolanya kumeturahisishia sana .
Wala simlinganishi Manula na Kakolanya , nilishaandika humu kitambo kwamba Kakolanya apewe namba 1 Taifa StarsWrite your reply...kuna mechi moja Tanzania walicheza na Zambia uko Sauzi ilikuwa COSAFA.. manula alipigwa goli faulo ilikuwa ya mbali vibaya mno. pale hata huyu kabwili asingefungwa
Mkuu basi km nihivyo simba hana mpinzan tena kwenye ligi ufugwe tena na mtani wako kisha ufurahie kufugwa jaman njoon mnisaidie kushangaaTatzo mikia inataka kutupakia ata jinsi ya kushabikia timu yetu. Kwa mechi ya jana ckujuwa kama yanga wanaweza cheza vizuri kiasi kile nimefungwa ila najiisi furaha kwa sababu timu imecheza kwa kujituma kwelikweli ambaye akuona ili basi aombe miwani.
Kipindi cha kwanza shot on target 0Jana mpira wamecheza mabeki, kabwili wala akupata kazi ngumu ata kidogo maana ata mipira mitatu langoni amjapiga. Lile goli ata golikipa wa manchester anafungwa tu.
Jana ata Yanga wasinge weka kipa Goli lilikua lile lile.Beki ilifanya kazi ipasavyo.Goli kama lile alilofungwa Kabwili huwezi kumfunga Kakolanya , huo ndio ukweli
Binafsi nimefurahishwa na ushindi wa Timu yangu ya Simba lakini ni wazi kabisa kwamba kutokuwepo kwa Kakolanya kumeturahisishia sana .