The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Kokalanya hatumtaki , hao viongozi WA yanga si ndio hao waliizembea kusajili kipa kwenye dirisha dogo, hapa zahera ana tatizo gani ?Ingawa Beno alifanya wanayoyaita ni "makosa" katika kudai haki zake za msingi lakini ukweli unabaki palepale, ni kipa bora katika makipa waliopo Yanga kwa msimu huu. Yanga wamemuachia klabu Zahera, yeye ndo msemaji wa klabu, yeye ndo mhasibu na yeye ndio mwenyekiti au Rais. Hilo jambo litakuja kuigharimu Yanga!
Kuna wakati Kabwili alikuwa anaomba abadilishwe. Alitoa ishara ya kuomba mabadiliko ila Kindoki alimnasihi aendelee.
Nimechoka mimi. Posession 40 kwa 60 alafu wanawapongeza wachezaji wao wamepambana, ukiwauliza how, wanajibu si unaona chama hajatembea😳😳Mkuu basi km nihivyo simba hana mpinzan tena kwenye ligi ufugwe tena na mtani wako kisha ufurahie kufugwa jaman njoon mnisaidie kushangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kipa pale ni PaziaWrite your reply...kuna mechi moja Tanzania walicheza na Zambia uko Sauzi ilikuwa COSAFA.. manula alipigwa goli faulo ilikuwa ya mbali vibaya mno. pale hata huyu kabwili asingefungwa
Wkt nimakosa ya mwalim wetu hii mechi mt km ndemla mo ibrahim cwakuwaacha njeNimechoka mimi. Posession 40 kwa 60 alafu wanawapongeza wachezaji wao wamepambana, ukiwauliza how, wanajibu si unaona chama hajatembea[emoji15][emoji15]
Tumuombee Kabwili asipate majeraha au kuumia vinginevyo Kindoki atahusika na mbio za ubingwa. Ila sikatai nakumbuka zamaani sana Ke Mkapa aliwahi kukaa langoni, sijui safari hii nani atadaka.Kokalanya hatumtaki , hao viongozi WA yanga si ndio hao waliizembea kusajili kipa kwenye dirisha dogo, hapa zahera ana tatizo gani ?
Ndemla & mo wacheze namba ngapi,?Wkt nimakosa ya mwalim wetu hii mechi mt km ndemla mo ibrahim cwakuwaacha nje
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabwili hata kama ni mzuri lakini sio kwa mechi ya juzi. Ila Yanga hawakua na ujanja mwengine, ni heri ya huyu dogo kuliko Kindoki a.k.a "Shati"Kabwili ni kipa mzuri sana. Sikutegemea kuona alichofanya jana, autimatically nilihisi angekua na hofu ila ameweza kujiamni na kufanya kazi yake vizuri. sijaona goli la kumlaum gori kipa pale.
Ndemla sawa, tatizo Mo wanadai ni "Cha-P" sanaWkt nimakosa ya mwalim wetu hii mechi mt km ndemla mo ibrahim cwakuwaacha nje
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanakuambia kindoki kapigwa mibaKabwili hata kama ni mzuri lakini sio kwa mechi ya juzi. Ila Yanga hawakua na ujanja mwengine, ni heri ya huyu dogo kuliko Kindoki a.k.a "Shati"
Niliona kwa hii mechi ndemla alifaa kuliko chamaNdemla sawa, tatizo Mo wanadai ni "Cha-P" sana
Ndemla hayupo bongo, yupo ulaya kwenye majaribio. Ndio maana hata sub hakuwepo.
Ndemla alikuwepo kwenye tizi na alicheza. Alidondoka bongoNdemla hayupo bongo, yupo ulaya kwenye majaribio. Ndio maana hata sub hakuwepo.
Ni kweli kabisa mkuu wangu,
Vichwa vinavyopigwa na Kagere mtu kama Kabwili akijaribu kuvidaka lazima mpira umsukumizie ndani.Goli kama lile alilofungwa Kabwili huwezi kumfunga Kakolanya , huo ndio ukweli
Binafsi nimefurahishwa na ushindi wa Timu yangu ya Simba lakini ni wazi kabisa kwamba kutokuwepo kwa Kakolanya kumeturahisishia sana .
kweli na mabeki walichangia.Goli kama lile alilofungwa Kabwili huwezi kumfunga Kakolanya , huo ndio ukweli
Binafsi nimefurahishwa na ushindi wa Timu yangu ya Simba lakini ni wazi kabisa kwamba kutokuwepo kwa Kakolanya kumeturahisishia sana .
Gemu ile ya kwanza Kakolanya alipambana peke yake baada ya timu nzima ya yanga kufa , na bado aliidhibiti Simbakweli na mabeki walichangia.
kweli aisee............Gemu ile ya kwanza Kakolanya alipambana peke yake baada ya timu nzima ya yanga kufa , na bado aliidhibiti Simba