"toto baya zuri kwa mama yake"
hata uwe mbaya vp kwa jamii bado mama atakuona kama malaika
nilikuwaga mtukutu san pale keko enzi za utotoni lakin mama alipenda kuniita mtoto mpole
nlikuwa kilaza sana dalasan ila mama aliniita akili nying
nlikuwa mkolofi na kibuli ila father alipenda kuniita askal mtiifu
NB:kabla hatujalaumu wazaz haswa mama tutambue mama ana uchungu na huyo mtoto kuliko ww ila ni nature tu yao ya umama(mother&child bond)inawafanya wanashindwa kuwa na reaction kama yako wanajikuta wanafanya hayo!!!,
hata mm nina kijana wangu mtukutu sana,kila kukicha ni kesi za kupiga wenzake,nanunua daftal za shule kila kukicha maana akikaslika huzichana,namkong'ota kila siku ila bado nabaki kumpenda sana maana ni mwanangu na sijawah kuwaza kumpeleka kuishi mbal na mm either boarding au kwa shangaz zake
R.I.P mama...love yu